Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,209
- 18,264
Baadhi ya watu wanakera mtu anakwambia mbona mwanza bei ni hii nimekuja huku ni hii, 😂Ngoja nikutafutie vita hakuna kukaa kinyonge bando lenyewe la 24hrs utalifidia vipi? 😹😹
Sema mkali unachamba utanifaa sana kwenye vita zangu, acha nikusajili 😹😹
Inabidi nitulie now nimekuwa matured
Kama Hawa hata hao wanaowasemea wala panya waende maduka yao waone km Kuna kitu rahisi, sisi wenyewe tunachukua kwa mchina yaani hata haijui mifumo mwingine kutwa na nywele mwili mzima kulia yebo ya elfu saba 😂