Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,605
- 59,479
Proof ziko wapi!?Watanzania walipo south africa wanahusika maana kuna zaidi ya watanzania 2million kule
Proof ziko wapi!?Watanzania walipo south africa wanahusika maana kuna zaidi ya watanzania 2million kule
Zuma ni kiongozi fulani hivi mwenye haiba ya kuwakomboa kifikra waafrica.
Wadau, wiki iliyopita nimekuwa nikitazama hii kesi ya Jacob Zuma. Zuma alifungwa kifungo cha miezi 15. Alikamatwa usiku wa kuamkia Alhamisi. Wafuasi wake wakaanza kuandamana. Usiku wa kuamkia juma mosi walichoma trucks (Ukipenda trela yaani yale malorry makubwa) zaidi ya 30.
Baada ya kuchoma malorry hayo yaliyokuwa yanatokea port of Durban, wakaamua kutoa vurugu wikendi nzima kwa kuziba barabara kwa mawe na kuchoma tyres. Usiku wa kuamukia leo ndio tumeona sinema haswa. Yaani leo wameamua liwalo na liwe, sasa wameamua kuvunja malls na kuiba kabisa mali kama fridge, TV, sofa set na kadhalika.
Watu ni wengi na polisi ni wachache kwa hivyo polisi wameshindwa cha kufanya. Mimi nasema walete jeshi lao yaani SANDF pengine litaweza kutuliza hali.
Ona jinsi walibyochoma trucks zilizokuwa zimebeba mizigo
Ona watu wanavyoiba
Washenzi sana wanaiba bila hata uoga
Maneno yako haya hayana ushahidi wowote, bali yamejaa conspiracies na uongo wa hali ya juu.Kuwakomboa waafrika kifikra? Si kweli. Ni maarufu kwa siasa za kusaka umaarufu: populism.
Huyu anafuata nyayo za viongozi wa kiafrika walioleta utawala mbovu kwenye nchi zao mara baada ya kupata uhuru. Kushika madaraka tu akaaisi ufisadi mkubwa akisaidiwa na familia ya Gupta. Wafaransa wakamvamia na miradi ya vifaa vya ulinzi wa anga na usafiri wa ndege. Familia yake ikaanza kushika hisa nzito kwenye mashirika ya umma yaliyobinafsishwa, n.k.
Kwa kifupi, ANC, chini ya kina Zuma inatajirisha viongozi weusi huku waafrika wanyonge wanazidi kuwa masikini.
Serikali ikomae tu, hatutaki mambo ya mungu mtu, kama una hatia ufungwe hata kama wewe nani.
Weusi tunatia huruma sana....
Maneno yako haya hayana ushahidi wowote, bali yamejaa conspiracies na uongo wa hali ya juu.
Mzee shutuma zisizo na ushahidi ni uzandiki. Hivi unamjua Zuma wewe!?Soma na fuatilia mijadala na mienendo rasmi ya mambo yanayoendelea Afrika ya Kusini.
Fuatilia mwenendo mzima wa “state capture”. Na AU tayari imeanza kufanya monitoring ya masuala ya RSA kupitia mpango wake wa “early monitoring systems”.
Uongo wa hali ya juu? All is transparent. Tandaza hizo conspiracies hapa.
Mzee shutuma zisizo na ushahidi ni uzandiki. Hivi unamjua Zuma wewe!?
Hebu achana na hisia na kipuuzi kwa mtu usiyemjua.
Unajua historian ya Zuma wewe!?Hakuna unachojua.
Sasa aharibu uchumi halafu apendwe!!Zuma ni corrupt stupid populist ambaye ameharibu uchumi wa Afrika Kusini. Ukweli haubadiliki.
Watanzania walipo south africa wanahusika maana kuna zaidi ya watanzania 2million kule
Yes Tanzanians have visa free to south Africa , make them easily entryReally? Is that true?? 2 million?
Duh!!! Yani kitendo chako tu hiki cha kuwaita waafrika wenzako wajinga tayari kinaonesha ubinafsi wako. Don't ever call other stupid while you don't know the details.Wafuasi wake ni wajinga. Ndio maana wanampenda licha ya yeye kuharibu uchumi wa SA.