Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,985
- 95,516
Mmeanza eeeh
ukisikia yalaaaaa, ujue limempata.Mmeanza eeeh
Acheni kufakamia mivitimoto khaa! Msichana unakula mishikaki 10, kilo mbili kitimoto.........Mmeanza eeeh
Michemsho ya bar na bia bia za ofaHabari zenu wakuu. wandugu naona kila mademu wenye vitambi wanaongezeka siku hadi siku. yaan mpaka najiuliza mnakula nini cha ziada. mana utakuta binti mzuri lakini kitumbo hicho. kwa kweli mi huwa naboreka kila nikikutana na demu dizaini hiyo. na ukimwambia ukweli umeanzisha ugomvi!!! wadada zingatien diet. demu mwenye kitambi hapendezi.
This is true. U see a beautiful woman but kitambi kinaweka kasoro pale,tule kwa mipangilio na mazoezi ni lazima.
Seriously I like looking good in different outfits. So,I am really tryingnimejikuta nikihisi wewe huna kitambi
Seriously I like looking good in different outfits. So,I am really trying
Imaginepicha nione...
Aah lijikute tuukisikia yalaaaaa, ujue limempata.
Kwel hili la dada zetu na vitambi ni jipuuHabari zenu wakuu. wandugu naona kila mademu wenye vitambi wanaongezeka siku hadi siku. yaan mpaka najiuliza mnakula nini cha ziada. mana utakuta binti mzuri lakini kitumbo hicho. kwa kweli mi huwa naboreka kila nikikutana na demu dizaini hiyo. na ukimwambia ukweli umeanzisha ugomvi!!! wadada zingatien diet. demu mwenye kitambi hapendezi.
Hahaha tumbo linaniruhusu, afu mnyaki bila kitimoto +maparachichi sijala bado. Hapa kula tu, diet peleka kwa Mange kimambiAcheni kufakamia mivitimoto khaa! Msichana unakula mishikaki 10, kilo mbili kitimoto.........
I hate kitambi hufanya mazoezi na Ku drink maji moto asubuhi jioni na kuchaganya asali kwa kweli inaondoa kabisaSeriously I like looking good in different outfits. So,I am really trying
Kabisa yaani. Muhimu ni kuacha uvivu tuI hate kitambi hufanya mazoezi na Ku drink maji moto asubuhi jioni na kuchaganya asali kwa kweli inaondoa kabisa