Wadada wenye vitambi wanaboa

Wadada wenye vitambi wanaboa

Yap man ni wengi Sana ukifwatilia life style yao wana penda nyama na bia viepee hataree Sana but ukiwa unawagegeda wana joto sana
 
Hata mke wangu ana kitambi balaa isingekuwa ana sifa zingine ninazompenda haki ya Mungu nisingemchukua.

Kika kona wadada wamejaa matumbo, mmoja nikimwuliza una mimba ya miezi mingapi? Weee acha alijisikia vibaya sana kumbe ni tumbo tu.
Kijijini haya mambo siyaoni kbs
 
1453058960227.jpg
 
Kuna ambao matumbo yao ndo yalivyo ila wengi wanapata vitamin baada ya kuzaa. Na most of them ni wale wanaozaa kwa kisu. Sababu mtu akipasuliwa hawezi fanya njaa za ajili za kurudisha tumbo. Akilazimisha anaweza kufumua nyuzi. Na hii ni kwa sababu zoezi hilo linatakiwa kufanywa mara tu baada ya Mtoto kutoka tumboni.
 
Unakuta sasa dem kapigwa pasi alaf na kitambi na kifua hicho utafikiri matako kayaamishia tumboni
 
wenye vitambi wanakunywa bia kreti bdo kitimoto n nyamachoma.....sasa usiombe ucku alele kabla yko anakoroma kma ndege inataka ku takeoff plus vijambo
 
Ongezeko la kalio ni directly proportional na ongezeko la kitambi,sasa mnawasifia makalio tafadhali kubalini na vitambi vyao....
Kama ulikuwa kwenye akiri yangu!! huo ugonjwa wangu mkubwa. Lkn wengi wenye kalio ndo wenye vitambi!! Nadhan nibadilishe vigezo sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom