Wadada wenye vitambi wanaboa

Wadada wenye vitambi wanaboa

Waone baa wanavyokqchia kesto laga lite henikeni zanzi na kile kinywaji cha kuchunia mabuzi almaarufu savana kisha wanashushia na mchemsho chipsi kuku mbuzi foil nk nk then wanaenda kulala kitambi lazima kiwepo saanaa tuuu
 
Mwanamke ukiwa na kitambi basi uwe mt*ako inapendeza ukibalance. Ila sio flat screen hlf kitambi juu
 
Kama ni mpenzi wako, mke wako au dada yako wapeleke gym...waeleze kuwa hupendi vitambi vyao. Watakushukuru....usisahau kuwapa diet plan
 
Hata mke wangu ana kitambi balaa isingekuwa ana sifa zingine ninazompenda haki ya Mungu nisingemchukua.

Kika kona wadada wamejaa matumbo, mmoja nikimwuliza una mimba ya miezi mingapi? Weee acha alijisikia vibaya sana kumbe ni tumbo tu.
Kijijini haya mambo siyaoni kbs
Ah ah ah jaman mbona mmatunanga hivi.
 
Habari zenu wakuu. wandugu naona kila mademu wenye vitambi wanaongezeka siku hadi siku. yaan mpaka najiuliza mnakula nini cha ziada. mana utakuta binti mzuri lakini kitumbo hicho. kwa kweli mi huwa naboreka kila nikikutana na demu dizaini hiyo. na ukimwambia ukweli umeanzisha ugomvi!!! wadada zingatien diet. demu mwenye kitambi hapendezi.
 
Kma Umempenda Usijal Hiyo Ni Inshu Ndogo Unaweza Kumbadilisha...Tena Kma Mnakaa Wote Inakua Safi Sanaa.
 
naanza kupata picha kutokana na maoni ya wachangiaji, inawezekana pombe ikawa ndo root causes ya wanawake kuota vitambi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom