Wadada wenye vitambi wanaboa

Wadada wenye vitambi wanaboa

Na mazoezi ya kupunguza tumbo zamani nikiwa mdogo nilizoea wanaume kuwa na vtambi ila cku hiizi wanawake wanaongoza kiafya sio vzuri
Hahaha! It is vice versa now,aise kitambi hakinivutii hata kwa dk 10.
 
Kitambi sina ila lazima niwatete wenzangu.

Jamani bora msichana mwenye kitambi kuliko mwanaume mwenye kitambi, kimefunika kadushe kamekuwa kafupi kama njiti na mbaya zaidi hana hela. This a shame.

Ukiwa na hela na una kinjiti, who cares??? Mind u, hela inafuta mapumgufu ya mwanamme.

Mwanamke na kitambi huenda kimesababishwa na uzazi. So waache ili tuongelee wanaume na vitambi
 
Mbona nyie mnavitambi jamani. Mtuche na matumbo yetu. Vitambi vingine kuisha ni shida unafanya tiz had unaona uache tu
 
Kitambi sina ila lazima niwatete wenzangu.

Jamani bora msichana mwenye kitambi kuliko mwanaume mwenye kitambi, kimefunika kadushe kamekuwa kafupi kama njiti na mbaya zaidi hana hela. This a shame.

Ukiwa na hela na una kinjiti, who cares??? Mind u, hela inafuta mapumgufu ya mwanamme.

Mwanamke na kitambi huenda kimesababishwa na uzazi. So waache ili tuongelee wanaume na vitambi
asante maana wanavyo tunanga. Umri ukifikia kitambi hakikwepeki. Tunabeba watoto tumboni. Tuna ukipasuliwa ndio kabisaa ni unkwepable
 
Kitambi sina ila lazima niwatete wenzangu.

Jamani bora msichana mwenye kitambi kuliko mwanaume mwenye kitambi, kimefunika kadushe kamekuwa kafupi kama njiti na mbaya zaidi hana hela. This a shame.

Ukiwa na hela na una kinjiti, who cares??? Mind u, hela inafuta mapumgufu ya mwanamme.

Mwanamke na kitambi huenda kimesababishwa na uzazi. So waache ili tuongelee wanaume na vitambi
Anzisha mada yako, hapa ni wanawake wenye vitambi
 
Unakuta janajike lanafakamia hovyo kitimoto+liugali kubwa+serengeti lager+ndizi rost.unadhan litaacha kuwa na mkitambi kama mimba.
 
achen huko, bora hata hao wanawake na vitambi wana maziwa na wengine kajitako japo kwa mbali,
nyie 'me' na vitambi MBINUKO convex halafu viko juujuu mimba si minba sijui ni vitambi vya stress
 
achen huko, bora hata hao wanawake na vitambi wana maziwa na wengine kajitako japo kwa mbali,
nyie 'me' na vitambi MBINUKO convex halafu viko juujuu mimba si minba sijui ni vitambi vya stress


Hahaa..ila vya kwao haviharibu muonekano kwa sana. Vya wanawake vinafunga kazi aisee
 
Habari zenu wakuu. wandugu naona kila mademu wenye vitambi wanaongezeka siku hadi siku. yaan mpaka najiuliza mnakula nini cha ziada. mana utakuta binti mzuri lakini kitumbo hicho. kwa kweli mi huwa naboreka kila nikikutana na demu dizaini hiyo. na ukimwambia ukweli umeanzisha ugomvi!!! wadada zingatien diet. demu mwenye kitambi hapendezi.
Kwani wewe huna kitambi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom