pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,731
Sasa kama mtu anapenda kula mchemsho na mtori sanjali na kitimoto chenye mafuta na beer za ofa kwa nini kisije...
sio sisi ni PESA ndo zinatuletea vitambi
Sawa ila wamekusikia ila wengine kama mm napenda sana bonge jumlisha na kitambii.
ha ha hahaSoon tutaota na vipara ili tukukere zaidi