Wadada wazuri mna shida gani lakini?

Wadada wazuri mna shida gani lakini?

Kuna kajamaa kanajiita huku eti sixboy mnyama kafupi keusi.nlikuwa natokea pisifln yamaana ikawainachomoa kuda kuchek dp yake kapo hako na imagine kanasajili line na kuendesha tukutuku partime.
😂😂😂 yupo na humu jf huyo jamaa?
 
Kajingakajinga hakaijui yaani nikafala ila hiyo pisi huiambii kitu ikaelewa nawaza lbda kun namna. Nltakaga kafanye mistake moja tu nikapige au nikafunge lkn dogo ananikubal kinyama
😂😂😂 yaani kuna muda unaona kabisa huyu malaya anafanya matumizi mabaya ya mwili wake, dah hawa viumbe basi tu.
 
Mbaya zaidi kale kajamaa hakana hela ila kanaenjoy me ndomaana napendaga mishangazi sema huku nilipohamishiwa wote wananiona kijana mwema sanaa
🤣🤣🤣
Tafuta mshangazi wa jirani uuchane ukweli tu mkuu, tuendelee kula mema ya nchi, hivi vitoto vya buku bee akili zao wanazijuwa wenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom