Wadada wazuri mna shida gani lakini?

Wadada wazuri mna shida gani lakini?

Tajiri hasalimii.

Unakuta mtoto mkaliii halafu anatoka na mhuni yuko rafu rafu, mchafu kufuwa kipengele, kuoga hadi mvua imnyeshee, ananuka vumba saa ingine masigara bwege yanapita humo humo.

Halafu watu wa maana kama mimi Tajiri Sina BAYA tunaenda kutupa ndoano anatema.
Hivi huwa mna nini nyie wadada wa hivyo?
DON'T HATE THE PLAYER HATE THE GAME
 
Tajiri hasalimii.

Unakuta mtoto mkaliii halafu anatoka na mhuni yuko rafu rafu, mchafu kufuwa kipengele, kuoga hadi mvua imnyeshee, ananuka vumba saa ingine masigara bwege yanapita humo humo.

Halafu watu wa maana kama mimi Tajiri Sina BAYA tunaenda kutupa ndoano anatema.
Hivi huwa mna nini nyie wadada wa hivyo?

Jibu lake hili hapa Tajiri
Screenshot_20250619_115851.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom