Wadada/Wanawake JF wapo!! Verification

Sasa mfano hapo nimlaum nani mkuu?? ubold siuoni tena[emoji87]
Mkewangu akijua jinsia yangu inatosha..

Nimekushangaa sana na wewe 4G LTE kuwa na akili hizi.! Ni sawa sawa na mwanaume anayetaka kujua ukubwa wa maumbile ya mwanaume mwenzake, unabaki unajiuliza tu "huyu mtu 'mzima' kweli"??
 
loohhh...acha usanii weye dogo
huoni waandika kwa kutumia alama?[emoji15]

husikii kwa hiyo s majanga hayo[emoji57] [emoji57]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji28] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
Ndiyo may be mi ni dogo, lakini ujue sku zite dogo mwenye nia huwa ni mkubwa huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…