Wadada wa jf njooni hapa

Wadada wa jf njooni hapa

Nilikuwa namfulia kila weekend namfanyia usafi ndani, siku moja nimebaki mwenyewe akaja mbeba taka akaniambia kuna mdada mwingine anamkutaga anampaga taka nyingi 😭😭😭
 
Yaan hapo Pa kuwa mbali, em kuweni specific.
Je km after 1 month mnakutana live, afu mna dissapear, had tena mwezi ujao.

Je imekaaje hii?
Kwa Wanandoa inaweza kufanya kazi, japo kuchapiwa hakuepukiki

Ila mkiwa wapenzi tu, jiandae kupewa Kadi ya mwaliko wa harusi ama kuona Whatsapp status baby wako akimpost baby mwingine 😜
 
Back
Top Bottom