Chica Gee
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 2,138
- 6,079
Asante sanaHonger kwak
Asante sanaHonger kwak
Hahaha...........utafanya ajinyonge huko alipo 😜
Sahivi nna asset za kuni bust kwenye mapenzi.
Sijui km hajutii huko aliko.
Nyie mabinti wadogo kisukari mnakitoa wapi, Kwa umri wenu huo eti Mwanaume akuache ategemee hautakula ama kunywa Kwa kumlilia yeye
Basi basi gran pah, ntapata kisukari buree.
Niache mambo ya flow vile enyewe yanataka.
Hahaha...........utafanya ajinyonge huko alipo![]()




Gran pah, mapenzi hayana formula.Nyie mabinti wadogo kisukari mnakitoa wapi, Kwa umri wenu huo eti Mwanaume akuache ategemee hautakula ama kunywa Kwa kumlilia yeye
Ndiyo kwanza mnaagiza Mbuzi choma mnakaa na marafiki kufurahia kuachana![]()




Hebu pitia unieleze vizuri, nahisi sielewi Babu yako 😜Gran pah, mapenzi hayana formula.
Usijifanye hujui,![]()
Nilimsubiria alivyorudi nikaondoka sikumwambia hata niliacha kwenda tuUka solve vipi 😂
Bila shaka kabisa. That’s My brother from another mother Eve.hata brother Evelyn Salt analijua hilo 🤣🤣
😂😂😂Uzi ufungwe tulale
Si ndiooo 🤣Tatizo binadamu wabishi sana 😂😂