Wadada wa JF mnanipa burudani kwakweli

Wadada wa JF mnanipa burudani kwakweli

Inawezekana mkuu Wadada wa humu Jf wapo smart sana kichwani mkuu , ila sio wote haaa haa
 
Inawezekana mkuu Wadada wa humu Jf wapo smart sana kichwani mkuu , ila sio wote haaa haa
Halafu nyie mnaosema wadada wa humu wako smart hebu mtuambie mnazingatia nini kwani kwenye kujiunga humu wanafanyiwa interview au??
 
Hennessey hata sizijui
Labda Depal anaweza kuwa na taarifa kamili kuhusu hiki kinywaji

Halafu sijui mleta mada anatumia kigezo gani kuandika neno KILA wakati kiuhalisia sio kweli kwamba ni KILA!
Hadi wewe unajifanya huijui Hennessey
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom