Wadada wa JF mnanipa burudani kwakweli

Wadada wa JF mnanipa burudani kwakweli

Story yeyote inayoletwa na mdada humu jukwaani utakuta anaelezea mazingira ya maisha safi, anakula hotelini, anatembelea beach fulani hivi amazing. Kila mdada humu msomi hajawahi kuachwa na anaishi masaki. Kila mwisho wa mwezi anaenda vacation ana gari na anakunywa chupa 3 za hennessy kila wiki.
Akila chipsi yai lazima abakize na popcorn hamalizagi, chakula cha mchana analia samakisamaki mlimani city na mapumziko yake ni cape verde Zanzibar kula fungate, aisee wadada wa Jf siwawezi kwakweli.
Mbona mimi siwaoni wadada wa hivyo humu? Uwe unanitag nione
 
Story yeyote inayoletwa na mdada humu jukwaani utakuta anaelezea mazingira ya maisha safi, anakula hotelini, anatembelea beach fulani hivi amazing. Kila mdada humu msomi hajawahi kuachwa na anaishi masaki. Kila mwisho wa mwezi anaenda vacation ana gari na anakunywa chupa 3 za hennessy kila wiki.
Akila chipsi yai lazima abakize na popcorn hamalizagi, chakula cha mchana analia samakisamaki mlimani city na mapumziko yake ni cape verde Zanzibar kula fungate, aisee wadada wa Jf siwawezi kwakweli.
Mkuu tambua kwamba kwa sasa nchi ipo katika uchumi wa kati tumebakiza hatua moja tu kufikia uchumi wa juu ili tuwe kama wazungu. Kwahiyo hayo mambo kwa watu wa uchumi wa kati ni kawaida kula hotelini, kuendesha mandinga, vacation nk. Kama wewe hujafika jitahidi mkuu utaachwa
 
kitu kimoja ni mwamba usifananishe jf ni mitandao kama fb au insta ambapo kila mtu;kuku na bata wote wanatumia.na wadada wengi wanaotumia huu mtandao wako vizuri kuanzia kichwani
 
Unajua hata kama hauna Gari

Ikitokea Upo kanisan, Askofu kasema , Unayejijua Gari lako umepaki mahali tusiporuhusu, Kaliondoe !!.


Toka nje wee Falaa zuga zuga, chomekea shati , rudi ndani.
Tetetetete
 
kitu kimoja ni mwamba usifananishe jf ni mitandao kama fb au insta ambapo kila mtu;kuku na bata wote wanatumia.na wadada wengi wanaotumia huu mtandao wako vizuri kuanzia kichwani
Sawa jidanganye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom