Tumefanyaje Kwanza maana sikuelewiKama wewe
[emoji16]
Ebu anza kunihadithia
Tumefanyaje Kwanza maana sikuelewiKama wewe
Unajuaje umesoma story zote zinazoletwa na wadada humu jukwaani?Story yeyote inayoletwa na mdada humu jukwaani utakuta anaelezea mazingira ya maisha safi, anakula hotelini, anatembelea beach fulani hivi amazing. Kila mdada humu msomi hajawahi kuachwa na anaishi masaki. Kila mwisho wa mwezi anaenda vacation ana gari na anakunywa chupa 3 za hennessy kila wiki.
Akila chipsi yai lazima abakize na popcorn hamalizagi, chakula cha mchana analia samakisamaki mlimani city na mapumziko yake ni cape verde Zanzibar kula fungate, aisee wadada wa Jf siwawezi kwakweli.
Anapiga ramli chonganishiUnajuaje umesoma story zote zinazoletwa na wadada humu jukwaani?
Hawa wengine usikute washapigwa vibuti kadhaa kwenye PM, wanakuja kumalizia ugwadu wao huku nje.Anapiga ramli chonganishi
Aache kujumuisha na kila zake bhanaHata siijui ladha yake dear 😀
Hizo KILA zake siku zitakuja kum'disappoint aje kulia lia hapa.
Oooh!basi ni tamu kumbeHazitofautiani sana na juice za ceres[emoji38]
Kwanza ulianza "story yoyote", sasa umekuja na "90%".Nimesoma 90%
Kwani we huwezi kujua kama story fulani ya mdadaKwanza ulianza "story yoyote", sasa umekuja na "90%".
Hiyo 90% umeipataje?
Ni 90% ya jumla ya posts ngapi? Umeanza kusoma lini mpaka lini? Umetumia muda gani kusoma zote hizo? Unajuaje huyu mdada na huyu si mdada katika forum ambayo watu hawaweki majina hadharani?
Define kujua, kujua ni nini na unajuaje umejua, na hujafikiri umejua pasipo kujua?Kwani we huwezi kujua kama story fulani ya mdada
Story yeyote inayoletwa na mdada humu jukwaani utakuta anaelezea mazingira ya maisha safi, anakula hotelini, anatembelea beach fulani hivi amazing. Kila mdada humu msomi hajawahi kuachwa na anaishi masaki. Kila mwisho wa mwezi anaenda vacation ana gari na anakunywa chupa 3 za hennessy kila wiki.
Akila chipsi yai lazima abakize na popcorn hamalizagi, chakula cha mchana analia samakisamaki mlimani city na mapumziko yake ni cape verde Zanzibar kula fungate, aisee wadada wa Jf siwawezi kwakweli.
Juu gani Tena jamanSoma juu kule kila kitu kipo
Mada ipi hiyo kwani[emoji849]Mwanzo wa mada