Ina maana mkuu hujaona utofauti wa uandishi kati ya Jf na insta au Facebook. ?? Wakati mwingine mtu anachoandika kina reflect uhalisia wa maisha yakeHalafu nyie mnaosema wadada wa humu wako smart hebu mtuambie mnazingatia nini kwani kwenye kujiunga humu wanafanyiwa interview au??
Au aweke link ya hizo story hapa.Mbona mimi siwaoni wadada wa hivyo humu? Uwe unanitag nione
Ina maana mkuu hujaona utofauti wa uandishi kati ya Jf na insta au Facebook. ?? Wakati mwingine mtu anachoandika kina reflect uhalisia wa maisha yake
Ana jambo lake huyo siunajua wakupenda mteremko
Itapendeza.. na sie tushuhudieAu aweke link ya hizo story hapa.
Hennessey gani tena jamani?
Hata siijui ladha yake dear 😀Hennessey hata sizijui
Labda Depal anaweza kuwa na taarifa kamili kuhusu hiki kinywaji
Halafu sijui mleta mada anatumia kigezo gani kuandika neno KILA wakati kiuhalisia sio kweli kwamba ni KILA!
Ndio maana silalamikii mtuWewe ushazitafuta
Huwezi Amini huyo anamiaka 50 Yaaani anachukia kitu ambacho yeye mwenyewe kinamkaribia kwa Kasi.Ule ugonjwa wako wakuchukia wazee ulisha pona?
Sawa mkuuHumu wengi wao (sio wote) ni single mothers wenye kazi zao na ndio maana utakuta nyuzi nyingi wanashadadia mambo ya Kijinsia sana ambayo yanapototeza jamii ya dada zetu.
Mie nimewahi kutana na wadada karibia kumi ila si kimapenzi bali kama marafiki basi. Ni single mothers ambao wanajitambua kiasi fulani. Range ya age yao inaanzia 24 and above ndio maana hata kuandika kwao kumetulia.
NB: Hii ni ID yangu private kwa ajili ya kujivinjali zaidi bila kufahamika
Pia wamejazana FbKama unataka wadada wa tandale kwa mfuga mbwa, manzese,kwa mpalange na buza nenda Instagram, huko wamejaa tele.
Hao wote walikuwa single mother? Asee mabaharia wamefanya yao kisha wakasepa.Humu wengi wao (sio wote) ni single mothers wenye kazi zao na ndio maana utakuta nyuzi nyingi wanashadadia mambo ya Kijinsia sana ambayo yanapototeza jamii ya dada zetu.
Mie nimewahi kutana na wadada karibia kumi ila si kimapenzi bali kama marafiki basi. Ni single mothers ambao wanajitambua kiasi fulani. Range ya age yao inaanzia 24 and above ndio maana hata kuandika kwao kumetulia.
NB: Hii ni ID yangu private kwa ajili ya kujivinjali zaidi bila kufahamika
Hata siijui ladha yake dear
Hizo KILA zake siku zitakuja kum'disappoint aje kulia lia hapa.
Haahaaha jinga wew umenichekeshaHennessey gani tena jamani?
Hazitofautiani sana na juice za ceresHennessey hata sizijui
Labda Depal anaweza kuwa na taarifa kamili kuhusu hiki kinywaji
Halafu sijui mleta mada anatumia kigezo gani kuandika neno KILA wakati kiuhalisia sio kweli kwamba ni KILA!
Unaongelea wadada gani kwani,,,,,,,,,?Story yeyote inayoletwa na mdada humu jukwaani utakuta anaelezea mazingira ya maisha safi, anakula hotelini, anatembelea beach fulani hivi amazing. Kila mdada humu msomi hajawahi kuachwa na anaishi masaki. Kila mwisho wa mwezi anaenda vacation ana gari na anakunywa chupa 3 za hennessy kila wiki.
Akila chipsi yai lazima abakize na popcorn hamalizagi, chakula cha mchana analia samakisamaki mlimani city na mapumziko yake ni cape verde Zanzibar kula fungate, aisee wadada wa Jf siwawezi kwakweli.