Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,508
- 6,891
I LIKE THAT..mnaonekana mmezoeana sana. mnajuana vyema na mnaaminiana. wengine hapo balaa, kila mtu na njia yake. Kweli mmpepatanaHahaha..wew ukiangaliwa ye anafanyaje? au akija nyumbani hakuulizi kama unataarifa za kuangaliwa kwako? then CHEATING IS PROHIBITED?[/QU
Tumeshazoea, hata yeye anajua kwamba nasumbuliwa, na kukupa tu mfano kuna siku alinipeleka ofisi za TRA nilikuw na shida akawa ananisubiri kwenye viti me nikaenda kuongea na muhusika ambae alikuwa ni mkaka asianze kunitongoza bila kujua kwamba anaenisubiri ni mume wangu alizani ni mteja tu pia, ila mume wangu hakusema kitu akawa anatuangalia tu, ila tulipotoka pale tulibaki tunacheka tu akasema asingekuwa mwanaume mwingine angerusha ngumi
Hahahaaa..bro changamoto mbele ya baba, mama mkwe na wife...hahaa bad imageSiku 1 nilikua nasimamia harusi ya mshikaji wangu 1 na tukaenda saloon kufanywa hayo makitu, mmh, mtu wa video nae akawa mchokozi, akachukua kila kitu then ukumbuni muda wa misosi akaweka hiyo clip ya saloon, kidogo nivunje ndoa yangu, wife ali- mind kweli kweli, so naomba muwe waangalifu!
Nunua mashine ya kuchongea maua.
mi huwa nafurahi anaponitolea uchafu masikioni
svoca !
...panga , koleo na tupa...ngoja nianze kumnyoa mpenzi wangu mwenyewe naomba list ya vitu vinavohitajika
...panga , koleo na tupa...
nikimaliza kunyoa na kuoshwa huwa nakunja sura kama nimekoswa bomu.natoka fasta bila tip
Hapo ndipo patamu, ukute mtoto mwenye hajui kuogopa, anakufungua shati inabita mikono laini kifuani...Dah, hivi kunachuo wanapitia?
sasa pale wanapokiweka kichwa chao katikati ya mitindi yao ndio kasheshe.
...panga , koleo na tupa...
Siku 1 nilikua nasimamia harusi ya mshikaji wangu 1 na tukaenda saloon kufanywa hayo makitu, mmh, mtu wa video nae akawa mchokozi, akachukua kila kitu then ukumbuni muda wa misosi akaweka hiyo clip ya saloon, kidogo nivunje ndoa yangu, wife ali- mind kweli kweli, so naomba muwe waangalifu!