Wadada na wizi wa aina mpya

Wadada na wizi wa aina mpya

hii mbinu mkuuu tena huyo amekushindwa unakabwa kooo hadi unatoa hela mwingine hadi kulia analia..
 
Jana nimepata msg toka kwa mtu nisiyemfahamu ikisema " dada nisaidie elfu 15 tu mwenzio nafukuzwa chuo na wamesema sitaenda Btp kama nisipomaliza kulipa."

Nikampandia hewani mtu huyo kujua ni nani(maana huenda akawa ndugu yetu na huenda akawa na tatizo genuine).

Du, ebana eeh, nilikutana na sauti mororo balaa akiniomba msamaha kwa namna ambayo ni irresistable kabisa hasa kwa mwanaume mkware.

"Samahani mkaka, nimekosea namba, nilikuwa namtumia sms dadaangu, nina shida kaka ndo maana labda nimechanganyikiwa na sina msaada"!!

Nikampa pole na kumtakia kila la heri.

Nilichojifunza ni kwamba huyu dada anajaribishajaribisha namba yoyote ili kama atatokea m'baba mwepesi aingie kitanzi mwenyewe...maana hapo anakuwa ametoa contact, na pia amejiexpose kwamba ana shida na matatizo. Bahati mbaya tupo wananaume tunaotafuta wadada wenye shida maana hawajiulizi mara mbili.

Jifunze kitu hapo.

Duh... Pole sana kaka!!! mekumiss ujue.....
 
Usiogope tuko pamoja dadaangu mpendwa...nina sababu kadha zilizonifanya niwe kimya, but nitakucall muda wowote..
Pamoko sana.
 
Wakuu salaam,offtopic hatimae nimekua member mmu.salam smile,preta,mzizi mkavu shujaa wangu,na wengineo.nina furaha leo
 
Hapana sio wa hapa jimmy ye alipiga akakosea namba basi akangangania mpaka nauliza alikuwa anajaribu kusikia sauti ya mdada
 
Preta
Smile
Blaki Womani
KOKUTONA
Passion Lady
Lady doctor
Semeni mshawahi kijikosesha namba?...mara ngapi na je ililipa?

Nisiseme uongo iliwahi kunitokea, nilisomewa namba na mtu ili nimpigie mtu fulani nimpe maelekezo fulani. Katika kucopy nokakosea namba mojabila kujua. Nika dial bwana akapokea jamaa nikamuuliza naongea na fulani? PakaJimmy niliporomoshewa matusi na huyo mkaka, nikajaribu kumwelewesha hakutaka kunielewa, nilivyoona anaendelea kutuna nikamwambia basi samahani nikakata simu, nikabidi nitrace upya aliyenipa namba nikagundua nimekosea but nikapewa correct no, nikamaliza shida zangu.
Baada ya 2hrs naona namba ninapiga, kuona nikakumbuka is that wrong number, sikupokea ns sikuwa na sbb ya kufanya hivyo. Akaamua atext, ooh sorry nimekutukana sana hadi nimejisikia guilt, nilidhani ni wale wadada wanaopiga simu kujifanya wamekosea namba kumbe wana yao na bla bla nyingi, oh nimetafakari nimeona ulikuwa genuine, pia una sauti nyororo, we can be friends.
Yaani nilibaki kucheka tu, sikumjibu, sasa umenikumbusha kisa hiki, na kumbe baadhi ya wadada hii wamefanya technique endelevu kujipatia chochote kitu.
Tufanye kazi jamani
 
Last edited by a moderator:
Na mara nyingi wadada ambao wanajifanya wanashida huwafuata wanaume na si wanawake wenzao, ni kawaida hata kwenye kituo cha daladala mtu anajifanya anashida unaona anakunong'oneza na ukimtolea nje anasogea kwa mtu mwingine mwanaume hivyo hivyo

hata mimi nikiwa na shida yoyote na kama nitahitaji msaada hata wa kuuliza njia simfuati mwanamke hata siku moja wana dharau sanaaaaa atakushusha atakupandisha na usikute hata huo msaada asikupe lakini mwanaume atakuelekeza kiroho safiiiiiiii
 
hata mimi nikiwa na shida yoyote na kama nitahitaji msaada hata wa kuuliza njia simfuati mwanamke hata siku moja wana dharau sanaaaaa atakushusha atakupandisha na usikute hata huo msaada asikupe lakini mwanaume atakuelekeza kiroho safiiiiiiii
Kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe maana sijui huu mfumo dume wanaolalamika wanaharakati utaondokaje kama mambo yenyewe ni haya, kiukweli kinadada ndivyo walivyo maana hata uswahilini ukikuta wamekaa kibarazani wanamchambua mwanamke mwenzao ambae anapita barabarani utasema wao wapo perfect na good looking (kumbe kawafubika mbaya ila wakiwa kikundi kila mtu anajiona bomba huku wakimtoa kasoro mwanamke mwanzao)
 
hee pole bestito mbona hiyo mbinu walikuwa wanatumia zamani sana huyo mdada ajabuni mbinu ingine ya kula
 
Haa! katrick kazuri hako! wallah mimi nilivyo weak kwenye tusauti mwororo twa wadada hapo ningeingia mkenge! loo! Mungu anisaidie!
Wakati mwingine unahitaji kuwa makini maana mrembo wako anaweza kumtuma mtu akupime joto kujua issue kama hizo unazi-handle vipi
 
PakaJimmy, mie mwenyewe siku hizi nakishangaa hichi kizazi.
Wanawake walikuwepo zamani aisee, siku hizi ukicheza unabakwa. namuangalia paw wangu namuonea huruma, anawindwa kama swala kwenye pori kame, manake sio simba tu hata mamba wanamtaka!:croc:

Ila nakuhakikishia wanaume pia wanasaka kwa namna hiyo. tumeshajikubalia wanaume ni maaluni, ila kuna siku kaka mmoja nilikuwa nae na akapewa namba ya simu bila mie kujua. nilikuwa mpole, manake hata sikustukia mchezo.
WANAWAKE TUMEWEZA TUKAMSHINDA MWALIMU:rip::croc:
Najaribu kuangalia kama mwanaume anaweza kuanza kutafuta msichana au jimama' kwa mtindo huo...

Kwangu mimi naona dunia ni pana mno kiasi kwamba ukianza mchezo huo unaweza ukakata mwezi unakutana na wababa wenzio na wabibi.
Unless kama nitampoint mrembo mahala, halafu niitafute namba yake kabisa ndipo nianze machezo ya kujikosesha namba yake kwa makusudi(wakati I know warram doin')

Wanawake, uwongo mbaya mna roho ngumu sana na mkiwezeshwa ndo basi tena...
MwanajamiiOne
King'asti
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom