PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,788
Jana nimepata msg toka kwa mtu nisiyemfahamu ikisema " dada nisaidie elfu 15 tu mwenzio nafukuzwa chuo na wamesema sitaenda Btp kama nisipomaliza kulipa."
Nikampandia hewani mtu huyo kujua ni nani(maana huenda akawa ndugu yetu na huenda akawa na tatizo genuine).
Du, ebana eeh, nilikutana na sauti mororo balaa akiniomba msamaha kwa namna ambayo ni irresistable kabisa hasa kwa mwanaume mkware.
"Samahani mkaka, nimekosea namba, nilikuwa namtumia sms dadaangu, nina shida kaka ndo maana labda nimechanganyikiwa na sina msaada"!!
Nikampa pole na kumtakia kila la heri.
Nilichojifunza ni kwamba huyu dada anajaribishajaribisha namba yoyote ili kama atatokea m'baba mwepesi aingie kitanzi mwenyewe...maana hapo anakuwa ametoa contact, na pia amejiexpose kwamba ana shida na matatizo. Bahati mbaya tupo wananaume tunaotafuta wadada wenye shida maana hawajiulizi mara mbili.
Jifunze kitu hapo.
Nikampandia hewani mtu huyo kujua ni nani(maana huenda akawa ndugu yetu na huenda akawa na tatizo genuine).
Du, ebana eeh, nilikutana na sauti mororo balaa akiniomba msamaha kwa namna ambayo ni irresistable kabisa hasa kwa mwanaume mkware.
"Samahani mkaka, nimekosea namba, nilikuwa namtumia sms dadaangu, nina shida kaka ndo maana labda nimechanganyikiwa na sina msaada"!!
Nikampa pole na kumtakia kila la heri.
Nilichojifunza ni kwamba huyu dada anajaribishajaribisha namba yoyote ili kama atatokea m'baba mwepesi aingie kitanzi mwenyewe...maana hapo anakuwa ametoa contact, na pia amejiexpose kwamba ana shida na matatizo. Bahati mbaya tupo wananaume tunaotafuta wadada wenye shida maana hawajiulizi mara mbili.
Jifunze kitu hapo.