Wadada na wizi wa aina mpya

Wadada na wizi wa aina mpya

hahahaha nimeshakutana nayo hiyo, kwangu ilifanyika mara mbili :smile-big:
Tupe maujanja uliikabili vp...au pia kama ulichomolewa msimbazi kadha weka wazi...
Na pia kama uliishia nae MAPAMBAZUKO G.HOUSE pia tujuze.
Hapa ni darasa la maujuzi.
 
Hapana bana sijaireserve...miye umri ushantupa mkono, mambo haya yanafaa vijana zaidi wanaoweza kurusha m^mkojo mita3... ha ha haaa
acha ukauzu kaka nirushie hata nusu yake
 
nimekutana nazo sana hizi aisee halafu wana timing kali balaaa. Ya juzi juzi alikua anaomba atafutiwe Field, akasema amekosea namba ila kweli anahitaji Field. hahahaaaa kilichotokea!!!!
 
nimekutana nazo sana hizi aisee halafu wana timing kali balaaa. Ya juzi juzi alikua anaomba atafutiwe Field, akasema amekosea namba ila kweli anahitaji Field. hahahaaaa kilichotokea!!!!
Mkubwa si useme sasa?

mi nilijia labda mi ni wa kwanza kukumbwa na janga hili kumbe watu kila siku mnaliwa hamsemi bana..

Wadada wa jf tupeni maujuzi, wenzetu haziji call za aina hii?
 
hahahahaaa nilimuomba aje kanisani kwetu nimfanyie maombui, kwani kaonekana tena??? hata sms anajibu tena? seriously akina dada hawa jamani
Mkubwa si useme sasa?

mi nilijia labda mi ni wa kwanza kukumbwa na janga hili kumbe watu kila siku mnaliwa hamsemi bana..

Wadada wa jf tupeni maujuzi, wenzetu haziji call za aina hii?
 
Goodness!! Why stoop so low???? Wanawake tunaelekea wapi??
 
Mkojo mita tatu mkuu... si rahisi labda uwe na katenki tumboni tena
Hapana bana sijaireserve...miye umri ushantupa mkono, mambo haya yanafaa vijana zaidi wanaoweza kurusha m^mkojo mita3... ha ha haaa
 
Mkubwa si useme sasa?

mi nilijia labda mi ni wa kwanza kukumbwa na janga hili kumbe watu kila siku mnaliwa hamsemi bana..

Wadada wa jf tupeni maujuzi, wenzetu haziji call za aina hii?

He he,,,,,,,umenikumbusha rafiki yangu wa Singida.......alikosea namba ......unajua mwisho ulikuwaje........
Natamani watu wa Singida wawe wanakosea mara kwa mara kuja kwangu........
 
Haa! katrick kazuri hako! wallah mimi nilivyo weak kwenye tusauti mwororo twa wadada hapo ningeingia mkenge! loo! Mungu anisaidie!
 
Hahahahaha PakaJimmy umenikumbusha picha ya kinigeria niliangalia December wasichana wa chuo walikuwa wanaitumia hiyo njia tena wao walikuwa wana'kosea' number zile za nje ya nchi hahah. Kumbe nasi tumeadvansi, ngoja nitafute namba nae!! Ila sasa hii sauti ilokomazwa na moshi wa chang'aa na viroba dah!
 
Last edited by a moderator:
Tupe maujanja uliikabili vp...au pia kama ulichomolewa msimbazi kadha weka wazi...
Na pia kama uliishia nae MAPAMBAZUKO G.HOUSE pia tujuze.
Hapa ni darasa la maujuzi.

nilicheki namba yake imesajiliwa jina gani si wajua tigo bwerereee, kisha nikazamia kumsaka facebook aah kinalipa kidume nikaweka meeting na kumaliza shughuli. Sikurembesha kwa kweli wala sifichi. 😛eace:
 
Ulimaliza vipi?

nilicheki namba yake imesajiliwa jina gani si wajua tigo bwerereee, kisha nikazamia kumsaka facebook aah kinalipa kidume nikaweka meeting na kumaliza shughuli. Sikurembesha kwa kweli wala sifichi. 😛eace:
 
Back
Top Bottom