Wadada na wizi wa aina mpya

Wadada na wizi wa aina mpya

nilicheki namba yake imesajiliwa jina gani si wajua tigo bwerereee, kisha nikazamia kumsaka facebook aah kinalipa kidume nikaweka meeting na kumaliza shughuli. Sikurembesha kwa kweli wala sifichi. 😛eace:
We kweli ulidhamiria...hatua zote hizo nadhani ulikuwa kikazi zaidi.

Vp baada ya hapo mahusiano yanaendeleaje?
Usikute wengine wanapata wa kuoa kwa njia hiyo.
 
Najaribu kuangalia kama mwanaume anaweza kuanza kutafuta msichana au jimama' kwa mtindo huo...

Kwangu mimi naona dunia ni pana mno kiasi kwamba ukianza mchezo huo unaweza ukakata mwezi unakutana na wababa wenzio na wabibi.
Unless kama nitampoint mrembo mahala, halafu niitafute namba yake kabisa ndipo nianze machezo ya kujikosesha namba yake kwa makusudi(wakati I know warram doin')

Wanawake, uwongo mbaya mna roho ngumu sana na mkiwezeshwa ndo basi tena...
MwanajamiiOne
King'asti
 
Last edited by a moderator:
e bana eheee... hii imetulia unaweza ingilika kiulaini sana.
 
Nilishawah kupiga vitu vyangu vitatu kwa style. Viwili nilikuwa dent nasoma. . . .kimoja nilikipigia g/h pale tandika, na kingine pale tandale. Mwaka jana aug kuna kimoja nilikipigia ubungo! Huwa sina muda wa kushangaashangaa nikipata viable fursa, otherwise halipi!
 
Najaribu kuangalia kama mwanaume anaweza kuanza kutafuta msichana au jimama' kwa mtindo huo...

Kwangu mimi naona dunia ni pana mno kiasi kwamba ukianza mchezo huo unaweza ukakata mwezi unakutana na wababa wenzio na wabibi.
Unless kama nitampoint mrembo mahala, halafu niitafute namba yake kabisa ndipo nianze machezo ya kujikosesha namba yake kwa makusudi(wakati I know warram doin')

Wanawake, uwongo mbaya mna roho ngumu sana na mkiwezeshwa ndo basi tena...
MwanajamiiOne
King'asti

Hahahah PakaJimmy mie sijawahikujikosesha ila nimeshawahi ku'kosewa' namba (sina uhakika kama alikuwa anafanya kusudi au alikosea kweli) ila iligeuka kero, yaani alikuwa anapiga mpaka usiku mwingi yaani nilikuwa sijaisevu lakini ilinikaa kichwani nikawa sipokei baada ya kujaribu kumuelewesha kuwwa sifurahii hicho anachokifanya. Bahati mbaya ilikuwa too late maana 'mupenzi' nliyekuwa naye alikuwa ashamind na lugha haipandi umweleze humjui huyo m'kosea' namba.........................ilinicost!
 
Last edited by a moderator:
Biblia inasema katika ZABURI 51:5,”Tazama mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiani”
 
Kuna kimoja pia amekosea namba last week, yeye anaishi sumbawanga but yupo mbezi kwa dada ake. Nimemtrace kupitia fb nimeona hajakidhi viwango; hata hvyo ankara hazisomeki vema nasukuma uchumi kwa kuchechemea, hvyo yupo disqualified!
 
Unajua hata kuna wanaume wengine wanakikosesha na vinganganizi hatari mtu unamwambia wrong number
 
Biblia inasema katika ZABURI 51:5,”Tazama mimi naliumbwa katika hali ya uovu; mama yangu alinichukua mimba hatiani”
Daaa dhambi ya kungonoka mbaya sana aisee, but its so much grateful and even joyful to operate a very risky, tough and challenging life style!
 
Unajua hata kuna wanaume wengine wanakikosesha na vinganganizi hatari mtu unamwambia wrong number
Hao ving'ang'anizi dawa yao ni ndogo. . . . . .experience is the best teacher, strugle for it!
 
Unajua hata kuna wanaume wengine wanakikosesha na vinganganizi hatari mtu unamwambia wrong number
Hao ving'ang'anizi dawa yao ni ndogo. . . . . .experience plus exposure is the best teacher, struggle for it!
 
We kweli ulidhamiria...hatua zote hizo nadhani ulikuwa kikazi zaidi.

Vp baada ya hapo mahusiano yanaendeleaje?
Usikute wengine wanapata wa kuoa kwa njia hiyo.

ilikua kazi ya nje mkuu hamna kuendelea kuwasiliana nayo, hata wife hajui mpaka kesho maana inaitwa special mission to be done secretly without leaving traces. :smile-big:
 
hahaha hiyo ni kweli brother tena wapo na wanaume wanajidai kukosea halafu wanaanza kuuliza maswali ya kitoto wewe nani..upo wapi...unafanya nini...umeolewa...n.k sasa jamanii kama umekosea namba maswali ya nn? hasq sisi tunaoweka namba za simu kwenye mabango ya.biashara ndo balaa hadi simu za kitapeli..tuache tabia hizi jaman tufanye kazi..
 
hahaha hiyo ni kweli brother tena wapo na wanaume wanajidai kukosea halafu wanaanza kuuliza maswali ya kitoto wewe nani..upo wapi...unafanya nini...umeolewa...n.k sasa jamanii kama umekosea namba maswali ya nn? hasq sisi tunaoweka namba za simu kwenye mabango ya.biashara ndo balaa hadi simu za kitapeli..tuache tabia hizi jaman tufanye kazi..
Lakinibiujue kufahamiana huwa kunakuja kwa namna nyingi tu...tusisubiri mtu aje very formal nyumbani kwa wazazi wako na kukuomba urafiki.
Kwa wale mnaoweka namba kwenye mabango mjiandae...mke wangu wakati fulani aliweka namba kwenye kiofisi chake, ikawa saa 8 za usiku watu wanapiga simu wakati pameandikwa kabisa kuwa mwisho wa huduma ni saa 3.00 usiku.
 
Na mara nyingi wadada ambao wanajifanya wanashida huwafuata wanaume na si wanawake wenzao, ni kawaida hata kwenye kituo cha daladala mtu anajifanya anashida unaona anakunong'oneza na ukimtolea nje anasogea kwa mtu mwingine mwanaume hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom