PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,788
- Thread starter
- #41
We kweli ulidhamiria...hatua zote hizo nadhani ulikuwa kikazi zaidi.nilicheki namba yake imesajiliwa jina gani si wajua tigo bwerereee, kisha nikazamia kumsaka facebook aah kinalipa kidume nikaweka meeting na kumaliza shughuli. Sikurembesha kwa kweli wala sifichi. 😛eace:
Vp baada ya hapo mahusiano yanaendeleaje?
Usikute wengine wanapata wa kuoa kwa njia hiyo.