Wadada na waume za watu

Wadada na waume za watu

ukiona upo na mume wa mtu mwaka hadi mwaka unatatizo kwenye ubongo wako .. na huku anakuchimba mkwara kupiga simu mwisho sa moja .. na ole wako ubebe mimba na ole wako umguse mkewe na we upo tu kapimwe akili
Huwa nawatafakari sana hao wadada au hawanaga mioyo? Duu mimi nina wivu sana yani
 
ukiona upo na mume wa mtu mwaka hadi mwaka unatatizo kwenye ubongo wako .. na huku anakuchimba mkwara kupiga simu mwisho sa moja .. na ole wako ubebe mimba na ole wako umguse mkewe na we upo tu kapimwe akili
Khaaaa sasa nikuache uniharibie kwa mke wangu?
 
H
Namaanisha kuchoka yani mpaka unakosa mvuto sababu ya kugegedwa siku zote na waume za watu kwanza mimi nitoke na mme wa mtu kwa shida gani hasa hiyo
Mbn me nadhan wavulana ndy wanagegeda sana kuliko waume za watu! Maana mwanaume mwenye familia ana mambo mengi sana ya kushughulikia so huwa wanakuwa na wadada kwa ajili ya kiburudisho tu na kupunguza msongo wa mawazo, ila hawako serious kiviiile kwny mgegedo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbn me nadhan wavulana ndy wanagegeda sana kuliko waume za watu! Maana mwanaume mwenye familia ana mambo mengi sana ya kushughulikia so huwa wanakuwa na wadada kwa ajili ya kiburudisho tu na kupunguza msongo wa mawazo, ila hawako serious kiviiile kwny mgegedo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe mtu kakugeuza kiburudisho una akili kweli familia yake imetulia nyumbani wewe unahangaishwa kwenye nyumba za wageni
 
Wanaweka wa kizazi hiki Pesa mbele!
Hapa Jf wengi wanahubiri nadharia,lakini uhalisia Mtaani ni fedha kwanza!
1500551823747.jpg
 
Back
Top Bottom