Wadada mtulie mnapokuwa jikoni

Wadada mtulie mnapokuwa jikoni

hapa ngoja nipite kwanza nitarudi kuchangia.nitawah home nikamchunguze dada anavyopika kabla sijaingia kutoa mchango hapa
 
Kwa hili Shem ataah!
Namie nipishe! Tena nipishe kwa mbali !
Mi sijamuoa H/gal bwanaa!
Mi nimekuoa wewe!
Haiyumkini nipikiwe na beki3 ilhali we mke upo umeitenga tu veranda , remote mkononi unachambua chaneli !
Kwanza huoni kwa wale mamista wakware inakuwa unamsogeza kunako sorroundin ya Mr kumkandamiza beki ?
Coz akishalemaa na mikaangizi yake , siku dharura happen ukakaanga wewe akaona changes na akala ki'neck upande coz hajazoe pishi lako. Na kinafata Mr kutaka kuona kama beki mapishi kakuzidi je machejo?
Na ndy maumivu huanza polepole hatimae?
Staki jibu.
Coz dunia nzima jibu wanalijua.

Mume umenena hapa hata wasibishe kabisaa house gal manake nin hapa simply kasema pale ktk kuunga na sio kuchemsha kande au maharage hapa ktk process yakuunga mweeh shauri zeenu
 
simply siku hizi wanategemea sana h'girl na ndo chanzo cha konda kuwa driver.

utasikia wife anaropoka ... Ka unanjaa c uingie jikoni mwenyewe...>>>
Weeeeeeh nyoko., utarudi kwenu
 
Last edited by a moderator:
Baba V hahahha awewe mimi sina nyumba ndogo
 
Last edited by a moderator:
snowhite just kuuliza; hivi ushaolewa best?
ahahahhahhahahhahha nimeolewa best!na mume shababi kweli kweli!shurti nisipopika hali!labda kama nimesafiri na nikijitia kutegea alijua pishi langu hasa!lazima niulizwe kwani leo ilikuwaje hukuingia jikoni!!sa yote ya nini hayo best!mi hata nirudi home sa mbili usiku jikoni lazima niandae chakula cha mheshimiwa mume wangu!
 
nilikuwa najiuliza kwa nini C6 ana nyumba ndogo zote zile ilhali mkewe ni mzuri vile? Leo ndo nimegundua kasoro yako[/QUOTE
thubuuuituuuuu.... hapa kafika na hawezi toka kisa chakula... chakula hata kwao kipo ila ndude tu ndo haipo baba!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Baba V hahahha awewe mimi sina nyumba ndogo

nashangaa my hezbend... anakuonea gere... hivi msosi si hata mama C6 huwa anakupikia?????
kwa shughuli ni moja tuuuu.... ndo maana nakupenda Mwaaaaaaaahhhhhh
 
Last edited by a moderator:
nani anapika....h/girl wa nini.....?...nipishe huko.....
kwangu sitaki h/girl yeuwiiiiiiii nitauaaaaaaaaa mm siwataki kabisaaaa...mungu epushia mbali huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom