mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 619
hapa ngoja nipite kwanza nitarudi kuchangia.nitawah home nikamchunguze dada anavyopika kabla sijaingia kutoa mchango hapa
Kwa hili Shem ataah!
Namie nipishe! Tena nipishe kwa mbali !
Mi sijamuoa H/gal bwanaa!
Mi nimekuoa wewe!
Haiyumkini nipikiwe na beki3 ilhali we mke upo umeitenga tu veranda , remote mkononi unachambua chaneli !
Kwanza huoni kwa wale mamista wakware inakuwa unamsogeza kunako sorroundin ya Mr kumkandamiza beki ?
Coz akishalemaa na mikaangizi yake , siku dharura happen ukakaanga wewe akaona changes na akala ki'neck upande coz hajazoe pishi lako. Na kinafata Mr kutaka kuona kama beki mapishi kakuzidi je machejo?
Na ndy maumivu huanza polepole hatimae?
Staki jibu.
Coz dunia nzima jibu wanalijua.
...wanaume bwana mnachekesha....
aahhahahahhahahhahahhah utaula wa chuya kwa uvivu wa kuchagu mwali!lolmuhogo babu... kwetu haupo... cjaja kupika mie!!!
ahahahhahhahahhahha nimeolewa best!na mume shababi kweli kweli!shurti nisipopika hali!labda kama nimesafiri na nikijitia kutegea alijua pishi langu hasa!lazima niulizwe kwani leo ilikuwaje hukuingia jikoni!!sa yote ya nini hayo best!mi hata nirudi home sa mbili usiku jikoni lazima niandae chakula cha mheshimiwa mume wangu!snowhite just kuuliza; hivi ushaolewa best?
ahahahhahhahha unahisi hatari hapa au!mbona waanza kunikingia kifua lol!Afu umuambie kabisaa una wake wangapi.
nani anapika....h/girl wa nini.....?...nipishe huko.....
nilikuwa najiuliza kwa nini C6 ana nyumba ndogo zote zile ilhali mkewe ni mzuri vile? Leo ndo nimegundua kasoro yako[/QUOTE
thubuuuituuuuu.... hapa kafika na hawezi toka kisa chakula... chakula hata kwao kipo ila ndude tu ndo haipo baba!!!!!
kwangu sitaki h/girl yeuwiiiiiiii nitauaaaaaaaaa mm siwataki kabisaaaa...mungu epushia mbali hukonani anapika....h/girl wa nini.....?...nipishe huko.....