Wadada mtulie mnapokuwa jikoni

Wadada mtulie mnapokuwa jikoni

Kwa hili Shem ataah!
Namie nipishe! Tena nipishe kwa mbali !
Mi sijamuoa H/gal bwanaa!
Mi nimekuoa wewe!
Haiyumkini nipikiwe na beki3 ilhali we mke upo umeitenga tu veranda , remote mkononi unachambua chaneli !
Kwanza huoni kwa wale mamista wakware inakuwa unamsogeza kunako sorroundin ya Mr kumkandamiza beki ?
Coz akishalemaa na mikaangizi yake , siku dharura happen ukakaanga wewe akaona changes na akala ki'neck upande coz hajazoe pishi lako. Na kinafata Mr kutaka kuona kama beki mapishi kakuzidi je machejo?
Na ndy maumivu huanza polepole hatimae?
Staki jibu.
Coz dunia nzima jibu wanalijua.

Baambie hao! Chakula ya muzee haipikwagi na h/gal
 
ngoja kwanza shem....twende polepole.....hebu snowhite.. cacico... Kaunga....nyie najua mnapikaga.....mkuje mnijibie shem wangu hapa.....mi bado nipo nipo saaaana.....

my dear mi hapa kwenye joko huwaga sina masikhara hivoo!
hili takozz naliweka chini kwa tuo mwali!
mamangu aliwahi kuniambia njia ya kwenda kwenye moyo wa mwanaume inaanzaa tumboni!
kwa hiyo mie jiko nalimudu hasaaaa!shurti kwa nazi na karanga,mafuta kwa kuchemsha,kuchoma na kubanika,kuoka na kufunika!
shem wako ana haki kabisa kuwa mkali! Judgement mwaya komaa hivo hivo upikiwe!
 
Last edited by a moderator:
Hii tabia imekithiri haswa kwa wadada wa mijini
Uko jikoni unapika mara unaongea na simu, Mara unachat txt., Mara Uko kwenye tv , mara unafumua nywele, Mara umeshaingia chumbani chakula umeacha jikoni,,
Mwishowe unaharibu ..
Mbadilike ,!!
Tulieni jikoni wakati mnapika
ah sanaaaa!
hiii mamangu alikuwa anaita mtu unapikaje kwa mgongo!
na akisema hivo tayari una mbata (kibao)cha mgongoni !lol!
 
ah sanaaaa!
hiii mamangu alikuwa anaita mtu unapikaje kwa mgongo!
na akisema hivo tayari una mbata (kibao)cha mgongoni !lol!
mapishi yanahitaji utulivu ..,
Pongezi kwa mama aliyekufunda.
Hivi hiZi kitchen party za mijini wanawafunda kweli au zawadi 2.,?
 
my dear mi hapa kwenye joko huwaga sina masikhara hivoo!
hili takozz naliweka chini kwa tuo mwali!
mamangu aliwahi kuniambia njia ya kwenda kwenye moyo wa mwanaume inaanzaa tumboni!
kwa hiyo mie jiko nalimudu hasaaaa!shurti kwa nazi na karanga,mafuta kwa kuchemsha,kuchoma na kubanika,kuoka na kufunika!
shem wako ana haki kabisa kuwa mkali! Judgement mwaya komaa hivo hivo upikiwe!

Hakika we si mwalimu bora tu, bali pia mke mwema.
 
Last edited by a moderator:
Hivi show inaanza saa ngapi, maana nina maswali kama ya sh.buku jero hapa

Acha papara kama Bao la kwanza wewe.
Afu kiwe cha Alfajiri.
KINANOGAJEEEEEE................!!!!!!!!!!!
 
mapishi yanahitaji utulivu ..,
Pongezi kwa mama aliyekufunda.
Hivi hiZi kitchen party za mijini wanawafunda kweli au zawadi 2.,?

Hizo chicken party sijui.... hakuna lolote, mtu asifundwe siku zote akafundishwe ukumbini!???
 
Yaani kama le mutuz alivyo king of the media wa east and central africa, nathubutu kusema mie ni queen of multi tasking. Napika huku niko jf, fb, kwenye simu na naangalia tv. Na natumia majiko 3 kwa mpigo.

Kufumua nywele ama kukata kucha huku unapika ni uchafu (source:mama king'asti).

Kwani baba, shida yako si uletewe 5* food isiyo na vitunguu vilivyoungua. Ama unataka usimamie na process yote?
Hii tabia imekithiri haswa kwa wadada wa mijini
Uko jikoni unapika mara unaongea na simu, Mara unachat txt., Mara Uko kwenye tv , mara unafumua nywele, Mara umeshaingia chumbani chakula umeacha jikoni,,
Mwishowe unaharibu ..
Mbadilike ,!!
Tulieni jikoni wakati mnapika
 
mapishi yanahitaji utulivu ..,
Pongezi kwa mama aliyekufunda.
Hivi hiZi kitchen party za mijini wanawafunda kweli au zawadi 2.,?

simply siku hizi wanategemea sana h'girl na ndo chanzo cha konda kuwa driver.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom