Wadada msioolewa muwalaumu wazungu kudanganya kuhusu ndoa ya mke mmoja

hapana wala sina ubavu huo tunajadiliana je unajua kuwa watu wengi wanaoa mke mmoja na wanamichepuko kadhaa nje ,je ndio mpango wa Mungu,je mpango wa Mungu kuwa dada zetu wapate Ttaabu kusaka ajira pia wapate taabu kusaka mume

wake wawili na kuendelea
1.sio fair kwa mkeo
2.kwa takwimu zilizopo ni dhahili pia kuwa baadhi ya wanaume wangekosa kabisa mke.
3.iko kinyume na imani ya kikristo.
 
Honey Faith ndio hali halisi huku mitaani mtu anajifanya ana mke mmoja siku akifa makaburini mnaona vitoto vinafanana na nyinyi pembeni kuna mama analia anagalagala kuliko mke wa ndoa kumbe small house

kwi kwi kwiiiiiiii
umeuaaaa!$
 
Unajua wazungu huwa siwaaminiamini,mwanzo walisema sayari ziko tisa sasa wanasema ziko nane na tunakubali.

Tukija kwenye ndoa agano la kale linaongelea ndoa ya wake wengi ila agano jipya linasema mke mmoja ,nasema hiyo ni idea ya mabepari ili masikini ukioa tu imekula kwako lakini wao(mabepari) kwa kuwa wana uwezo wataoa mke mmoja wakimkinai watachepuka kwa mke wa masikini kama akimvutia,ni ngumu sana mwanamme masikini kuchepuka na mke mke wa tajiri kama ikitokea, na ukikamatwa utauliwa,

Hawa wazungu walichakachua hicho kipengele kwa maslahi yao binafsi,kuna amri pia zinadaiwa kuchakachuliwa na wamisionari kama watangulizi wa wakoloni ili kulainisha mioyo ya makoloni(waafrika).

Mimi kama mkristo siamini kama ndoa ya mke mmoja ni agizo la Mungu kwani hakuna mwanamume anayetosheka na mke mmoja na idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ,hivyo wadada msioolewa muwalaumu wazungu kwa uongo wao.

Makanisa ya kiroho kumejaa mabinti warembo kwelikweli wanaombewa kila siku wapate wanaume wa kuwaoa kisa uongo wa mzungu.

Wazinzi at work
 
Unajua wazungu huwa siwaaminiamini,mwanzo walisema sayari ziko tisa sasa wanasema ziko nane na tunakubali.

Tukija kwenye ndoa agano la kale linaongelea ndoa ya wake wengi ila agano jipya linasema mke mmoja ,nasema hiyo ni idea ya mabepari ili masikini ukioa tu imekula kwako lakini wao(mabepari) kwa kuwa wana uwezo wataoa mke mmoja wakimkinai watachepuka kwa mke wa masikini kama akimvutia,ni ngumu sana mwanamme masikini kuchepuka na mke mke wa tajiri kama ikitokea, na ukikamatwa utauliwa,

Hawa wazungu walichakachua hicho kipengele kwa maslahi yao binafsi,kuna amri pia zinadaiwa kuchakachuliwa na wamisionari kama watangulizi wa wakoloni ili kulainisha mioyo ya makoloni(waafrika).

Mimi kama mkristo siamini kama ndoa ya mke mmoja ni agizo la Mungu kwani hakuna mwanamume anayetosheka na mke mmoja na idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ,hivyo wadada msioolewa muwalaumu wazungu kwa uongo wao.

Makanisa ya kiroho kumejaa mabinti warembo kwelikweli wanaombewa kila siku wapate wanaume wa kuwaoa kisa uongo wa mzungu.


yaani wewe uko kama mimi maana siamini kabisa kama ndoa ya mume mmoja inafaa. mume mmoja huwa hatoshi mafiga matu bwana. si ndioooo
 
Unajua wazungu huwa siwaaminiamini,mwanzo walisema sayari ziko tisa sasa wanasema ziko nane na tunakubali.

Tukija kwenye ndoa agano la kale linaongelea ndoa ya wake wengi ila agano jipya linasema mke mmoja ,nasema hiyo ni idea ya mabepari ili masikini ukioa tu imekula kwako lakini wao(mabepari) kwa kuwa wana uwezo wataoa mke mmoja wakimkinai watachepuka kwa mke wa masikini kama akimvutia,ni ngumu sana mwanamme masikini kuchepuka na mke mke wa tajiri kama ikitokea, na ukikamatwa utauliwa,

Hawa wazungu walichakachua hicho kipengele kwa maslahi yao binafsi,kuna amri pia zinadaiwa kuchakachuliwa na wamisionari kama watangulizi wa wakoloni ili kulainisha mioyo ya makoloni(waafrika).

Mimi kama mkristo siamini kama ndoa ya mke mmoja ni agizo la Mungu kwani hakuna mwanamume anayetosheka na mke mmoja na idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ,hivyo wadada msioolewa muwalaumu wazungu kwa uongo wao.

Makanisa ya kiroho kumejaa mabinti warembo kwelikweli wanaombewa kila siku wapate wanaume wa kuwaoa kisa uongo wa mzungu.

Wewe ni mkristo usiyesoma. Kuna vitu viwili ambavyo watu wengi huoenda kuchanganya na kushindwa kutifautisha. Utamaduni na dini. Waarabu wana utamaduni wao kwa mfano, sehemu walizoeneza dini ya kiislamu watu walianza kufuata utamaduni wao, kwa mfano kuvaa kanzu, kofia n.k.

Kadhalika hakuna amri ya mungu kwenye biblia ina kataza kuoa mke zaidi ya mmoja. Watu walioleta dini kama za kikatoliki kwa mfano walikiwa wanaunganisha dini na tamaduni zao.Kama tamaduni zao ilikuwa kuoa mke mmmoja basi wakafanya hivyo.

Naamini ukristo hauzuii kuoa mke zaidi ya mmoja.
 
Mkuu kuna kaukweli hapa wanawake tupo wengi jamani,nakumbuka ilikuwa sikukuu ya idd mwaka juzi tuliona kwenye taarifa ya habari vitoto vilivyozaliwa kwenye sikukuu Dar es salaam sikumbuki ni hospitali gani,vilikuwa vichanga 38 kati ya hivyo 8 tu ndio vya kiume 30 ni vya kike, sasa nikapiga mahesabu labda kila kichanga kimoja cha kiume kioe wake watatu au wanne kati ya hivyo vichanga 30 vya kike, ndio vitakuwa vimeolewa vyote.
Unajua wazungu huwa siwaaminiamini,mwanzo walisema sayari ziko tisa sasa wanasema ziko nane na tunakubali.

Tukija kwenye ndoa agano la kale linaongelea ndoa ya wake wengi ila agano jipya linasema mke mmoja ,nasema hiyo ni idea ya mabepari ili masikini ukioa tu imekula kwako lakini wao(mabepari) kwa kuwa wana uwezo wataoa mke mmoja wakimkinai watachepuka kwa mke wa masikini kama akimvutia,ni ngumu sana mwanamme masikini kuchepuka na mke mke wa tajiri kama ikitokea, na ukikamatwa utauliwa,

Hawa wazungu walichakachua hicho kipengele kwa maslahi yao binafsi,kuna amri pia zinadaiwa kuchakachuliwa na wamisionari kama watangulizi wa wakoloni ili kulainisha mioyo ya makoloni(waafrika).

Mimi kama mkristo siamini kama ndoa ya mke mmoja ni agizo la Mungu kwani hakuna mwanamume anayetosheka na mke mmoja na idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ,hivyo wadada msioolewa muwalaumu wazungu kwa uongo wao.

Makanisa ya kiroho kumejaa mabinti warembo kwelikweli wanaombewa kila siku wapate wanaume wa kuwaoa kisa uongo wa mzungu.
 
Wewe ni mkristo usiyesoma. Kuna vitu viwili ambavyo watu wengi huoenda kuchanganya na kushindwa kutifautisha. Utamaduni na dini. Waarabu wana utamaduni wao kwa mfano, sehemu walizoeneza dini ya kiislamu watu walianza kufuata utamaduni wao, kwa mfano kuvaa kanzu, kofia n.k.

Kadhalika hakuna amri ya mungu kwenye biblia ina kataza kuoa mke zaidi ya mmoja. Watu walioleta dini kama za kikatoliki kwa mfano walikiwa wanaunganisha dini na tamaduni zao.Kama tamaduni zao ilikuwa kuoa mke mmmoja basi wakafanya hivyo.

Naamini ukristo hauzuii kuoa mke zaidi ya mmoja.
marrying another constitutes adultery. "So then if, while her husband liveth, she be married to another man, she shall be called an adulteress: but if her husband be dead, she is free from that law; so that she is no adulteress, though she be married to another man" (Romans 7:3). So the wife is bound to one man.
"Whosoever shall put away his wife, and marry another, committeth adultery against her" (Mark 10:11). Now, if divorcing and remarrying is committing adultery, what if a man simply marries a second wife? Yes, that second marriage would constitute adultery also, because it adulterates God's plan for marriage from the beginning.
 
Unajua wazungu huwa siwaaminiamini,mwanzo walisema sayari ziko tisa sasa wanasema ziko nane na tunakubali.

Tukija kwenye ndoa agano la kale linaongelea ndoa ya wake wengi ila agano jipya linasema mke mmoja ,nasema hiyo ni idea ya mabepari ili masikini ukioa tu imekula kwako lakini wao(mabepari) kwa kuwa wana uwezo wataoa mke mmoja wakimkinai watachepuka kwa mke wa masikini kama akimvutia,ni ngumu sana mwanamme masikini kuchepuka na mke mke wa tajiri kama ikitokea, na ukikamatwa utauliwa,

Hawa wazungu walichakachua hicho kipengele kwa maslahi yao binafsi,kuna amri pia zinadaiwa kuchakachuliwa na wamisionari kama watangulizi wa wakoloni ili kulainisha mioyo ya makoloni(waafrika).

Mimi kama mkristo siamini kama ndoa ya mke mmoja ni agizo la Mungu kwani hakuna mwanamume anayetosheka na mke mmoja na idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ,hivyo wadada msioolewa muwalaumu wazungu kwa uongo wao.

Makanisa ya kiroho kumejaa mabinti warembo kwelikweli wanaombewa kila siku wapate wanaume wa kuwaoa kisa uongo wa mzungu.

Mleta uzi wewe una woke wangapi?
 
Huyo mmoja uwa anawashinda, ukioa wawili si utajinyonga, actually ni wewe wa kuwashukuru wazungu.

Kwa dunia ya sasa mwanaume kuwa na wake wengi ni wa kumuonea huruma. Wanawake wengi hawatairiwi so wana mihemuko ya mapenzi sana kumweka one week kumpangia zamu ni kazi. Vyakula vya sasa ni tofauti ni vijana wachache sana wanaokula vyakula natural kama ulezi, mtama, mihogo, magimbi n.k.
Mazoezi ni ngumu kwa sasa kila kitu ni boda boda au gari, kushinda kwa computer the whole day then unataka kuwa na wanawake wengi. Wanawake wenyewe wa sasa wanajua pesa ni nini lazima ufe before 50 yrs.
 
Mkuu kuna kaukweli hapa wanawake tupo wengi jamani,nakumbuka ilikuwa sikukuu ya idd mwaka juzi tuliona kwenye taarifa ya habari vitoto vilivyozaliwa kwenye sikukuu Dar es salaam sikumbuki ni hospitali gani,vilikuwa vichanga 38 kati ya hivyo 8 tu ndio vya kiume 30 ni vya kike, sasa nikapiga mahesabu labda kila kichanga kimoja cha kiume kioe wake watatu au wanne kati ya hivyo vichanga 30 vya kike, ndio vitakuwa vimeolewa vyote.

Hii ni hali ya kushangaza sana inabidi tuangalie vyakula tunavyokula why wazaliwe wanawake wengi? Maana kuna maeneo sio dar lakini huwa naenda nakuta watoto wa kiumr wanazaliwa sana tena kuna wamama wanakasirika maana unakuta anazaa dume la tano au sita. So kwa dar muangalie vyakula mnavyokula.
 
Back
Top Bottom