SONDR
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 271
- 642
Wana jamiiforums kama makanisa yanaruhusu na kuunga mkono ndoa za jinsia moja
Mfano wa makanisa hayo ni Angrikana, Roma, kanisa la mitute viongozi wake wametoka hadharani na kutangazia wafuasi wao kuwa makanisa hayo yana ungamkono ndoa za jinsia moja.
Swali langu la msingi ndoa ya jinsia moja na ndoa ya mke zaidi ya mmoja ipi nidhambi iliyotukuka.
Nafikiri ndoa ya jinsia moja ni dhambi na nichukizo kwa Mungu kuliko ndoa ya mke zaidi ya mmoja.
Tunawaomba viongozi wa madhehebu mbalimbali waturuhusuni wanaume wa kikristo kuoa mke zaidi ya mmoja kuliko kuruhusu ushoga na usagaji mbele ya madhabahu ya bwana.
Mfano wa makanisa hayo ni Angrikana, Roma, kanisa la mitute viongozi wake wametoka hadharani na kutangazia wafuasi wao kuwa makanisa hayo yana ungamkono ndoa za jinsia moja.
Swali langu la msingi ndoa ya jinsia moja na ndoa ya mke zaidi ya mmoja ipi nidhambi iliyotukuka.
Nafikiri ndoa ya jinsia moja ni dhambi na nichukizo kwa Mungu kuliko ndoa ya mke zaidi ya mmoja.
Tunawaomba viongozi wa madhehebu mbalimbali waturuhusuni wanaume wa kikristo kuoa mke zaidi ya mmoja kuliko kuruhusu ushoga na usagaji mbele ya madhabahu ya bwana.