Wadada msioolewa muwalaumu wazungu kudanganya kuhusu ndoa ya mke mmoja

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
15,987
35,655
Unajua wazungu huwa siwaaminiamini,mwanzo walisema sayari ziko tisa sasa wanasema ziko nane na tunakubali.

Tukija kwenye ndoa agano la kale linaongelea ndoa ya wake wengi ila agano jipya linasema mke mmoja ,nasema hiyo ni idea ya mabepari ili masikini ukioa tu imekula kwako lakini wao(mabepari) kwa kuwa wana uwezo wataoa mke mmoja wakimkinai watachepuka kwa mke wa masikini kama akimvutia,ni ngumu sana mwanamme masikini kuchepuka na mke mke wa tajiri kama ikitokea, na ukikamatwa utauliwa,

Hawa wazungu walichakachua hicho kipengele kwa maslahi yao binafsi,kuna amri pia zinadaiwa kuchakachuliwa na wamisionari kama watangulizi wa wakoloni ili kulainisha mioyo ya makoloni(waafrika).

Mimi kama mkristo siamini kama ndoa ya mke mmoja ni agizo la Mungu kwani hakuna mwanamume anayetosheka na mke mmoja na idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ,hivyo wadada msioolewa muwalaumu wazungu kwa uongo wao.

Makanisa ya kiroho kumejaa mabinti warembo kwelikweli wanaombewa kila siku wapate wanaume wa kuwaoa kisa uongo wa mzungu.
 
The question of polygamy is an interesting one in that most people today view polygamy as immoral while the Bible nowhere explicitly condemns it. The first instance of polygamy/bigamy in the Bible was that of Lamech inGenesis 4:19: "Lamech married two women." Several prominent men in the Old Testament were polygamists. Abraham, Jacob, David, Solomon, ​and others all had multiple wives. In2 Samuel 12:8, God, speaking through the prophet Nathan, said that if David's wives and concubines were not enough, He would have given David even more. Solomon had 700 wives and 300 concubines (essentially wives of a lower status), according to1 Kings 11:3.


 
Unapokuwa muamini inakubidi kuamini kwa asilimia yote.. Lkn ukiamini au kutokuamin kwa sababu kuna kifungu kinafunua uovu wako au kukataza tamaa zako basi ww si muamini. Mkristo wa ukweli huiamini bible yoteee na hata kilichoandikwa ktk bible si kama mwanadamu alivyopenda na kuona bali waliongozwa na Roho ya bwana katika kila hatua.
 
Mojawapo ya changamoto za nyakati za hatari ni kuwa upendo wa watu wengi utapoa kwa sababu ya kasi ya kuongezeka kwa maasi, pia watu watapenda kufundishwa mambo ambayo masikio yao yanapenda kusikia.

Zamani mahusiano kabla ya ndoa yalikuwa ni nadra sana, leo hii huo ndio unaonekana ndiyo utaratibu unaofaa.
 
Unajua wazungu huwa siwaaminiamini,mwanzo walisema sayari ziko tisa sasa wanasema ziko nane na tunakubali.

Tukija kwenye ndoa agano la kale linaongelea ndoa ya wake wengi ila agano jipya linasema mke mmoja ,nasema hiyo ni idea ya mabepari ili masikini ukioa tu imekula kwako lakini wao(mabepari) kwa kuwa wana uwezo wataoa mke mmoja wakimkinai watachepuka kwa mke wa masikini kama akimvutia,ni ngumu sana mwanamme masikini kuchepuka na mke mke wa tajiri kama ikitokea, na ukikamatwa utauliwa,

Hawa wazungu walichakachua hicho kipengele kwa maslahi yao binafsi,kuna amri pia zinadaiwa kuchakachuliwa na wamisionari kama watangulizi wa wakoloni ili kulainisha mioyo ya makoloni(waafrika).

Mimi kama mkristo siamini kama ndoa ya mke mmoja ni agizo la Mungu kwani hakuna mwanamume anayetosheka na mke mmoja na idadi ya wanawake ni wengi kuliko wanaume ,hivyo wadada msioolewa muwalaumu wazungu kwa uongo wao.

Makanisa ya kiroho kumejaa mabinti warembo kwelikweli wanaombewa kila siku wapate wanaume wa kuwaoa kisa uongo wa mzungu.

Una-edit Biblia?
 
Back
Top Bottom