Wadada msioolewa muwalaumu wazungu kudanganya kuhusu ndoa ya mke mmoja

tatizo hawa wazungu hawaaminiki ndugu yangu,bible wameicompile wao mi mkristoila nina mashaka na bahadhi ya mambo na sio dhambi,ndio maana hata martin luther akawapinga wakatoliki ikatokea lutheran church other wise dunia nzima kungekuwa na dhehebu moja kama kila kitu kitaeleweka na kutafsiriwa sawa kwa kila muumini
 
Una-edit Biblia?
hapana wala sina ubavu huo tunajadiliana je unajua kuwa watu wengi wanaoa mke mmoja na wanamichepuko kadhaa nje ,je ndio mpango wa Mungu,je mpango wa Mungu kuwa dada zetu wapate Ttaabu kusaka ajira pia wapate taabu kusaka mume
 
Akiwa na mke mmoja na michepuko miwili tena na wao wana watoto na wanahudumiwa kama wake huo sio uzinzi eeeh?
Honey Faith ndio hali halisi huku mitaani mtu anajifanya ana mke mmoja siku akifa makaburini mnaona vitoto vinafanana na nyinyi pembeni kuna mama analia anagalagala kuliko mke wa ndoa kumbe small house
 

je mke naye akimkinai mume wake ,anaruhusiwa kubadilisha,maana na wanawake nao wanakinai ila wanavumilia tu.
 
nimeoa mke mmoja ndio lakini we unajua nina michepuko mingapi?ahahahahaha kiding

Tukichukulia utani wa michepuko, ni tofauti sana na mke. Hubebi majukumu yake yote kwa 100%, you choose what to do and what not to...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…