Wadada,kama unataka mwenye mafanikio huyu!!

Baba yangu ni Mzee Peter kazi za nje kazi attend na kujipatia watoto.nashawishika kusema utafiti ni wa kweli.
 

Mjomba wangu na cuzin wanaitwa Robert. . . wamtulia kama maji ya mtungi.

Hence proved!!!!!!!!!
 

Kama alikulamba na wewe ruksa kusema ulivyoandika ila kama siyo utakuwa umekosea sana maana umesikia maneno tu kwa watu ambayo inawezekana siyo kweli
 
Majina yanahusu nini na tabia ya mtu?

Ukimwita mwanao Masumbuko atasumbuka maisha yake yote. Hata ukimwita "RANGO" chagga meaning "mwizi" hataacha kuwa jambazi etc. Remember one thing from today....The subconscious brain is what controls any human being. It does not think but it makes you what you are . It is too powerful. It is this part which when tempered with, you can get a different human from what you ordinarily know. Think of suicide bombers, think of commandos, think of witchcraft and those supernatural behaviors or acts. It is a result of feeding the subconscious brain with the necessary inputs . Names have power to feed the subconscious brain.

If you believe you will be poor , you will never avoid it. If you believe you will be rich, nothing will stop you forever. Names have such effect. Too psychological though, so never mind if you can't comprehend it. just remember to select a good name for your next baby.
 
Kama alikulamba na wewe ruksa kusema ulivyoandika ila kama siyo utakuwa umekosea sana maana umesikia maneno tu kwa watu ambayo inawezekana siyo kweli
Hahahaha!
Taratibu Shine,
Hajanilamba bwana ni mdogo sana kwangu ila nazijua ishu zake kwan alishaharibu kwa mdogo wetu na hg wetu lol!
 
Mfamaji umetoa darasa zuri sana,utakua umewasaidia wengi?
 
Mi ninae Peter nakubali ni mjenzi mzuri na ninanufaika sana. nikuazime uonje?
 
Ebwana mi sipingi ni ukweli mtupu sample yangu imetoa jibu sawa na lako.
 
Hivi majina hutolewa kutokana na tabia za watu au watu hujenga tabia kutokana na majina waliyopewa?
 


Jina lako ni mfamaji_je..ni kweli utakufa maji,....hebu funguka kuhusu jina lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…