ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,726
- 28,281
kuna kimoja kilikuwa kinatafuta mchumba humu, nikaona ndo hapa hapa pakupatia. mtoto si kajitangaza mwenyewe bana! kuja kukutana nae hata bibi yangu mzuri asee. alafu anasema ana miaka 23 wakati kasura kamekomaa kama anakula cement. wanawake wa humu wengi wamekuwa rejected huko mitaani. huwezi kuwaangalia mara 2 ndo maana wanakuja kujiliwaza huku
Kwa kifupi mvuto zero