Kuna shida Gani kwenye Operation za Uzazi? Hivi vifo ni mimi tu naona?

CONTRARIAN

JF-Expert Member
Jun 21, 2023
922
2,793
Inaumiza sana ndugu zangu.
Watu wa 3 ninaowafahamu, wengine wa 3 ni watu wa karibu wa marafiki zangu..
Katika miezi 4 wamepoteza maisha Wote kwa operation ya uzazi, achilia mbali wale ninaosikia mtu pembeni akiongea.

Inauma Sana ndugu zangu,
Mnampeleka mpendwa wenu hospital akiwa mzimaa mpate malaika, mnaambulia Miili miwili isiyotikisikaa... Mbaya zaidi uone kuna hali ya uzembe ilifanyika.
Isikie tuu hii kwa mtu ndugu yangu..

Hiki ni nini? Au ni coincidence tuu kwa bahati mbaya imetokea zaidi kwa watu ninaowafahamu?
Hivi hua hospital wana keep Data? If yes Are they real? Data zinasemaje? Zinafanyiwa kazi? Maana sidhani kama ni kawaida..

Kwa Moyo wa dhati NIIOMBE Serikali kupitia wizara ya Afya Fuatilieni hili Zaidi, kuna uzembe,
Mmoja kati ya hao Pamba ilisahaulika Tumboni Dodoma hapo, mwingine naye mistake katika kutenganisha Kitovu, Mwingine naye kuna sehemu ilikawa vibaya...
Haya ni makosa ya kibinadamu..
Hatuna chance ya makosa ya kibinadamu katika Afya ya mtu jamani..

Wahusika Niwaombe ndugu zetu, nyie ni professional, mmekula viapo, Mnalipwa, Jitoeni katika kazi zenu, Fanya Ukijua uhai wa viumbe hao upo mikononi mwako,
Kueni makini na Afya za Mama zetu, Dada zetu na wote kwa ujumla, mmeaminiwa sanaa..
Itokee kwa mipango ya Mungu ila sio kwa uzembe..

Serikali nawaomba Sana viongozi wangu, Chukueni hili katika positive way ya kuokoa mama na mtoto..
Siandiki hapa kama Niliyepoteza Mke au Ndugu, naandika kama binadamu niliyeumia SANAA kuona ndugu zetu hawa Wanatutoka katika picha kama hizo...

Nawaomba Tena Chukueni hili katiaka Positive way,
Mpo hapo kuokoa jamii kubwa nyuma yenu, Jivunie Kuo mmoja wa waliokoa mamia ya mama zetu na taifa la kesho, Siku Moja utalipwa, this is real sio siasa.
Ni suala la kitaalamu, litatuliwe kitaalamu.

Rai kwa Mama na dada zangu, Mnaopokua wajawazito, Punguzeni Utandawazi, epukeni Uzazi wa operation usio wa lazima kwa kisingizio hutaki uchungu, Jipe mazoezi.

Poleni Sana Wote mlitokwa na Wapendwa Wenu katika picha kama hii..

AMEN.
 
Inaumiza sana ndugu zangu.
Watu wa 3 ninaowafahamu, wengine wa 3 ni watu wa karibu wa marafiki zangu..
Katika miezi 4 wamepoteza maisha Wote kwa operation ya uzazi, achilia mbali wale ninaosikia mtu pembeni akiongea.

Inauma Sana ndugu zangu,
Mnampeleka mpendwa wenu hospital akiwa mzimaa mpate malaika, mnaambulia Miili miwili isiyotikisikaa... Mbaya zaidi uone kuna hali ya uzembe ilifanyika.
Isikie tuu hii kwa mtu ndugu yangu..

Hiki ni nini? Au ni coincidence tuu kwa bahati mbaya imetokea zaidi kwa watu ninaowafahamu?
Hivi hua hospital wana keep Data? If yes Are they real? Data zinasemaje? Zinafanyiwa kazi? Maana sidhani kama ni kawaida..

Kwa Moyo wa dhati NIIOMBE Serikali kupitia wizara ya Afya Fuatilieni hili Zaidi, kuna uzembe,
Mmoja kati ya hao Pamba ilisahaulika Tumboni Dodoma hapo, mwingine naye mistake katika kutenganisha Kitovu, Mwingine naye kuna sehemu ilikawa vibaya...
Haya ni makosa ya kibinadamu..
Hatuna chance ya makosa ya kibinadamu katika Afya ya mtu jamani..

Wahusika Niwaombe ndugu zetu, nyie ni professional, mmekula viapo, Mnalipwa, Jitoeni katika kazi zenu, Fanya Ukijua uhai wa viumbe hao upo mikononi mwako,
Kueni makini na Afya za Mama zetu, Dada zetu na wote kwa ujumla, mmeaminiwa sanaa..
Itokee kwa mipango ya Mungu ila sio kwa uzembe..

Serikali nawaomba Sana viongozi wangu, Chukueni hili katika positive way ya kuokoa mama na mtoto..
Siandiki hapa kama Niliyepoteza Mke au Ndugu, naandika kama binadamu niliyeumia SANAA kuona ndugu zetu hawa Wanatutoka katika picha kama hizo...

Nawaomba Tena Chukueni hili katiaka Positive way,
Mpo hapo kuokoa jamii kubwa nyuma yenu, Jivunie Kuo mmoja wa waliokoa mamia ya mama zetu na taifa la kesho, Siku Moja utalipwa, this is real sio siasa.
Ni suala la kitaalamu, litatuliwe kitaalamu.

Rai kwa Mama na dada zangu, Mnaopokua wajawazito, Punguzeni Utandawazi, epukeni Uzazi wa operation usio wa lazima kwa kisingizio hutaki uchungu, Jipe mazoezi.

Poleni Sana Wote mlitokwa na Wapendwa Wenu katika picha kama hii..

AMEN.
Umenikumbusha miaka 12 iliyopita pale kairuki hospital nilimpoteza Hilda my wife kwa uzembe wa Drs baada ya operation
 
Poleni poleni mno kwa wote mliokutwa na uzembe huu,na tatizo nothing u can do, yaani Doctors wengi nchi yetu they got away with murder, wakuu tutafuteni hela,pls usicheze kabisa na afya yako na wapendwa wako, peleka Nairobi au Millpark, royal families huwezi kuona ndugu zao wanatibiwa pale magomeni hospital
 
Kada imekua Cha wote, Ili mradi wazazi wako Wana Pesa unakua Daktari.


Mitihani yao ya Kidato Cha sita Sasa ,unashika mtihan unajiuliza, Hii ndo Paper 1 na 2 ya Physics ?. wanatungiwa mitihan myepesi sana.

Haya, Private schools nazo zinashindana kufaulisha basi Wizi juu ya wizii ,maswali yanasoviwa chap, wanapewa wanafunzi chap ,wanajibu chapchap wanapiga One.


Hujatulia kidogo... Wazuri wa Elimu anataka kumfurahisha Rais, "Mama Sa100 kafanya watoto wamefaulu sana ". .... Siasaaa siasaa hizi .


Angalieni matokeo ya Kidato Cha sita ya Mwaka 2021 baada ya Rais Sa100 kushuka kijiti..... Ilikua ni miezi miwili ya yeye kua MADARAKANI, ila Sasa , Matokeo yakapikwa pikwaa, kuonyesha kua MIEZI MICHACHE TUU TAYARI KABADILISHA ELIMU, SASA WANAFAULU
 
Kada imekua Cha wote, Ili mradi wazazi wako Wana Pesa unakua Daktari.


Mitihani yao ya Kidato Cha sita Sasa ,unashika mtihan unajiuliza, Hii ndo Paper 1 na 2 ya Physics ?. wanatungiwa mitihan myepesi sana.

Haya, Private schools nazo zinashindana kufaulisha basi Wizi juu ya wizii ,maswali yanasoviwa chap, wanapewa wanafunzi chap ,wanajibu chapchap wanapiga One.


Hujatulia kidogo... Wazuri wa Elimu anataka kumfurahisha Rais, "Mama Sa100 kafanya watoto wamefaulu sana ". .... Siasaaa siasaa hizi .


Angalieni matokeo ya Kidato Cha sita ya Mwaka 2021 baada ya Rais Sa100 kushuka kijiti..... Ilikua ni miezi miwili ya yeye kua MADARAKANI, ila Sasa , Matokeo yakapikwa pikwaa, kuonyesha kua MIEZI MICHACHE TUU TAYARI KABADILISHA ELIMU, SASA WANAFAULU
Mkuu, sekta ya afya ina changamoto kubwa mno. Hasa hasa idara ya upasuaji.

Huko kwenye upasuaji kuna shida gani?

Au wanawaachia madogo wa fildi kupasua watu?
 
Back
Top Bottom