Wadada igeni mfano huu wa mwenzenu

Wadada igeni mfano huu wa mwenzenu

Huyo kaka sioni kama anatatizo ni mwanaume kama wanaume wengine tu....
 
Hawa wanaolewa na walemavu kabisa huwa hawatoki bongo?
 
Mdada mrembo na graduate wa ualimu kachukuliwa kiraini na Albno. Hili ni somo kubwa kwa wadada zetu ambao si tu wanachagua bali huenda mbele na kuangalia elimu, pesa, mali nk toka kwa wanaume wanaowahitaji!!! hakika mungu atampa dada huyu faraja kubwa katika maisha yake, KWA MAISHA YA KIBONGO SIYO RAHISI KIASI HICHI.

Kwani albino hana uume haa cha ajabu kipi n makubaliano.tu


Cc. CYBERTEQ
 
Last edited by a moderator:
Kwa cku wanawake wamegundua wakiwa too selective wanaishia kuwa manung'ayembe
 
achen ubaguz kwan albino sio.mwanadamu w kawaida
 
Acheni unyanyapaa... Kwani albino hana hisia, hana haki ya kuoa/kuolewa???

Muulizeni Keysha anavyopapatikiwa na vidume!
 
Kwani albino hana uume haa cha ajabu kipi n makubaliano.tu


Cc. CYBERTEQ

watu hawajielewi tu, huu nao ni unyanyapaa. o-level nimesoma na walemavu wa ngozi na wasioona wengi tu, katika wengi ninaofahamiana nao karibia wote wameoa/kuolewa na watu wasio na tatizo, hakuna cha ajabu, they are normal, except matatizo ya color pigmentation tu!
 
watu hawajielewi tu, huu nao ni unyanyapaa. o-level nimesoma na walemavu wa ngozi na wasioona wengi tu, katika wengi ninaofahamiana nao karibia wote wameoa/kuolewa na watu wasio na tatizo, hakuna cha ajabu, they are normal, except matatizo ya color pigmentation tu!

Ndo naduwaaa pia cha kushangaa kipi apo kwani albino hana.roho
 
Back
Top Bottom