Wadada: Hizi Makeup, give us a break

Wadada: Hizi Makeup, give us a break

Hahaha mbona tutakuwa kama midoli ndugu yangu. Fani za watu hizo ujue
Ndio tunajifunza fani ati, tukitupia poda kama maiti,wigi lisilofuata direction, kutokunukia na viatu pair moja, mbona ni hatarious!!
 
Ndio tunajifunza fani ati, tukitupia poda kama maiti,wigi lisilofuata direction, kutokunukia na viatu pair moja, mbona ni hatarious!!
Hapana bana, Tusije tukaua watoto wa watu kwa mshtuko teh teh
 
Hivi mheshimiwa nape hajaona hili suala angalau atoe muongozo?
Naona kila siku kakomalia tu bunge lisiwe live wakati jamii huku inapoteza tamaduni!!
Shame kwakweli
Tupaze sauti mpaka imfikie
Vipodozi vya chini ya viwango visiingizwe nchini na watoto wa kike wawe wanapewa tips za urembo toka mashuleni ili Kina dada wote wapendeze
 
Hahahaaaa!! Hivi ni foundation ndio inatakiwa kutii sheria au mchagua foundation?
Mi siamini kama mtu unaweza kununua foundation isiyo ya rangi yako vinginevyo utakuwa unatania aisee. Sasa nikadhani labda kuna siku tu huwa inakataa kutii sheria, au labda wanajikandika powder nyingi juu yake
 
Mi siamini kama mtu unaweza kununua foundation isiyo ya rangi yako vinginevyo utakuwa unatania aisee. Sasa nikadhani labda kuna siku tu huwa inakataa kutii sheria, au labda wanajikandika powder nyingi juu yake
Hahahaaaa! Aisee haya mambo ni kipaji, ukikurupuka ndio unaonekana kibwengo.
 
Hahahaaaaa!! Jamani khaaaah!! Sasa hatuwezi kuwa wote classic basi ndio mtuwache tujikandikeee hizi hizi za buku, mtuzoee tu.


Hahaha sawa lakini msisalimie watu asubuhi hold on mpaka mchana imekauka ndio usalimie
 
Tupaze sauti mpaka imfikie
Vipodozi vya chini ya viwango visiingizwe nchini na watoto wa kike wawe wanapewa tips za urembo toka mashuleni ili Kina dada wote wapendeze
Kwakweli tupazeni sauti naamini watasikua tu
Haiwezekani wadada wakawa wanakua kama vyombo vya majaribio ya makeup zao za ajabu ajabu!
 
Atakuwa asha ngedere au mwajuma ndara ndefu
 
Hiyo ya kuwa kama maiti nilishaangaa siku moja kumwona mmoja kwenye kikao kajikandika namna hiyo, aliniondolea utulivu wakati wote nilimkumbuka jirani yetu tuliyemzika muda si mrefu. Tulipomaliza ikabidi niulize kwa dada mwingine eti yule katia madudu gani usoni mbona ni madudu ya maiti, akaishia kunicheka akasema urembo huo!! Khaaa!!
 
Hiyo ya kuwa kama maiti nilishaangaa siku moja kumwona mmoja kwenye kikao kajikandika namna hiyo, aliniondolea utulivu wakati wote nilimkumbuka jirani yetu tuliyemzika muda si mrefu. Tulipomaliza ikabidi niulize kwa dada mwingine eti yule katia madudu gani usoni mbona ni madudu ya maiti, akaishia kunicheka akasema urembo huo!! Khaaa!!
Mkuu kwakweli wanatisha kabisa
Unaweza ukaota usiku
 
Kuna make up flan za kishua demu akiwa classic na akipata mrembaji mzuri oooh my God million si pesa utampa bure venye anang'aa

Ila back to uswazi ***** carolite na poda jini maimuna demu kama huyu nikikutana naye asubuh akanisalimia narudi ghetto kulala siku imeshaharibiwa hiyo
my ribs please! hahaaaa eti jini maimuna
 
Zinawabeba sana, Asilimia 98 ya madada waliopo humu ndani bila make up unaweza kukimbia ukajua ni mzimu
Kiongozi, kwani yupo wa humu ambaye unafahamu anavyojiremba? Nyie watu hatari sana!!
 
Kuna make up flan za kishua demu akiwa classic na akipata mrembaji mzuri oooh my God million si pesa utampa bure venye anang'aa

Ila back to uswazi ***** carolite na poda jini maimuna demu kama huyu nikikutana naye asubuh akanisalimia narudi ghetto kulala siku imeshaharibiwa hiyo
Lkn bado atakuwa wa bandia na yy,hapa mwenzako kataka tubaki na virangi vyetu vya kutoka kwa sir God
 
Back
Top Bottom