Mussa Lucas
Member
- Jun 12, 2022
- 16
- 25
Wana Jf natumain ni wazima wa afya,
Mimi nimpangaji na wala sina mda mrefu nimehamia kwenye nyumba hii. Kiukweli hapa nilipopanga tupo wapangaji wanne, mwanaume nipo mwenyewe na sijaoa, yaani nipo single. Hawa wengine ni wadada, kila mdada anachumba chake, kiukweli wote hakuna alieolewa au ana mume.
Kitendo kinachonikera ni hawa wadada kuwa wanatoka kwenda kuoga huku wakiwa wamevaa kanga moja. Kiukweli hiki kitendo mimi kinanitesa sana, haswa nikiimagine nipo single. Kiukweli imefikia hatua kama vile nimelogwa, muda wote nikisikia mdada anatoka kwenda kuoga lazima nitoke nje kuchungulia nione kavaaje.
Kiukweli hii tabia siyo nzuri hasa kwa mwanamke au binti aliyelelewa kimaadili, huwezi vaa kanga mpaka viungo vyote vya mwili wako vinaonekana. Mwili wako unatakiwa uonekane kwa mume wako wa halali tuu, siyo kila mtu aone mwili wako.
Wanaume wameumbwa na maradhi katika mioyo yao, hata kama mwili ni wako tujaribu tu kuwa hata na hofu ya Mungu. Hii Dunia niyakupita tuu, tuache mambo ya ajabu. Kwani ukivaa kitenge kizito juu na chin na kanga juu kunauzito au ugumu gani?
Tubadilike bwana, siyo sawa kabisa. Ambao nitakuwa nimewakwaza mtanisamehe sana.
Inafikia hatua najifikiria hata kuwafanyia kitendo kibaya, jamani nimechoka na mateso haya. Wadada mnatutesa sana.
Kama ushawahi kukutana na mkasa huu haswa nyumba za kupanga, niambie unafanya nini ili usijeleta madhara kwao?
Mimi nimpangaji na wala sina mda mrefu nimehamia kwenye nyumba hii. Kiukweli hapa nilipopanga tupo wapangaji wanne, mwanaume nipo mwenyewe na sijaoa, yaani nipo single. Hawa wengine ni wadada, kila mdada anachumba chake, kiukweli wote hakuna alieolewa au ana mume.
Kitendo kinachonikera ni hawa wadada kuwa wanatoka kwenda kuoga huku wakiwa wamevaa kanga moja. Kiukweli hiki kitendo mimi kinanitesa sana, haswa nikiimagine nipo single. Kiukweli imefikia hatua kama vile nimelogwa, muda wote nikisikia mdada anatoka kwenda kuoga lazima nitoke nje kuchungulia nione kavaaje.
Kiukweli hii tabia siyo nzuri hasa kwa mwanamke au binti aliyelelewa kimaadili, huwezi vaa kanga mpaka viungo vyote vya mwili wako vinaonekana. Mwili wako unatakiwa uonekane kwa mume wako wa halali tuu, siyo kila mtu aone mwili wako.
Wanaume wameumbwa na maradhi katika mioyo yao, hata kama mwili ni wako tujaribu tu kuwa hata na hofu ya Mungu. Hii Dunia niyakupita tuu, tuache mambo ya ajabu. Kwani ukivaa kitenge kizito juu na chin na kanga juu kunauzito au ugumu gani?
Tubadilike bwana, siyo sawa kabisa. Ambao nitakuwa nimewakwaza mtanisamehe sana.
Inafikia hatua najifikiria hata kuwafanyia kitendo kibaya, jamani nimechoka na mateso haya. Wadada mnatutesa sana.
Kama ushawahi kukutana na mkasa huu haswa nyumba za kupanga, niambie unafanya nini ili usijeleta madhara kwao?