Wadada: Hizi Makeup, give us a break

Wadada: Hizi Makeup, give us a break

PhotoGrid_1422376443311.jpg
 
Kwa Muda mrefu nimekua nikiwavumilia sana na hizi poda zao, yaani unakuta mdada kapaka poda mpaka unashangaa huyu hakuwa na kioo ajione alivotoka? Yaani hana hata urafiki na majirani angalau wangemwambia akazipunguze tu basi?
Leo nimesikitika zaidi na naandika huu uzi kwa mfadhaiko sana nilipokutana na mdada kapaka poda kama Maiti!!!! walahi mnaweza cheka lakini kwa poda ile jamani hapana unaweza kuota usiku hasa kama uliyekutana naye anafanana na ndugu/rafiki ambaye unamfahamu na kwa bahati mbaya akatutoka!
Sasa wadada jamani msidhani wanaume wanazipenda hizo poda na wala msidhani mnavutia saaana mkipaka, sanasana mnaongeza joto tu hapa mjini!
Kitu kingine ni hizo lipstick!
Jamani give us a break tuna vitu vingi tu vya kushangaa yaani unakuta eti ndo kumechisha wigi, lipstick, wanja, kucha, hadi nyusi?
Aaah jamani HAMPENDEZI kuweni tu original and simpe i swear mtapendeza sana
Message Sent na yaweza kuwa delivered pia maana yule niliyekutana naye anaonekana mjanja tu siamini kama hayupo humu jf !


Mkuu picha inahusika, tuone huyo maiti huenda ni ndugu aliyetupotea siku za karibuni.
 
Kuna make up flan za kishua demu akiwa classic na akipata mrembaji mzuri oooh my God million si pesa utampa bure venye anang'aa

Ila back to uswazi ***** carolite na poda jini maimuna demu kama huyu nikikutana naye asubuh akanisalimia narudi ghetto kulala siku imeshaharibiwa hiyo
Hahahaa ati unarudi geto siku imeharibiwa....
Makeup zipo unaweza apply and ukabaki na mwonekano wako wa asili and classic,nude lipstck,smoky eyes,foundation inayomatch na skintone yako etc
 
Hahahaa ati unarudi geto siku imeharibiwa....
Makeup zipo unaweza apply and ukabaki na mwonekano wako wa asili and classic,nude lipstck,smoky eyes,foundation inayomatch na skintone yako etc


Hahahaa maelezo mazuri

Lakini si muwe mnaambiana angalau mnatuumiza sometimes
 
Hahahaa maelezo mazuri

Lakini si muwe mnaambiana angalau mnatuumiza sometimes
Hahahaa, wakiambiwa wanaona tunawaonea uwivu lol... sijawahi kuona mtu kajikosea hivyo usoni nikimuona nitamwambia....
Mfano mzuri mke wa fella makeup zake kama jini ila haambiwi hasikii
 
Hahahaa, wakiambiwa wanaona tunawaonea uwivu lol... sijawahi kuona mtu kajikosea hivyo usoni nikimuona nitamwambia....
Mfano mzuri mke wa fella makeup zake kama jini ila haambiwi hasikii


Hahahaha yule naye tatizo khaaa! poa nikiwaona ntakuja kuwashtaki kwako unisaidie kuwaambia...

Naogopa kusutwa dume zima mimi
 
Jana nilimuoana msichana aisee hiyo makeup mpaka USO umekuwa mweupi na ule wanja ndo balaa kabisa
 
Kweli tunatofautiana mkuu, mwanamke asipotumia powder kwangu Big No.
Aisee mkuu wewe ni exceptional
Unawezaje kuzivumilia
Na zile wanja zao akikugusa shati tu kakuchafua
Halafu wana makusudi sana anaona umependeza zako mara anakudekea kakulalia kifuani shati lishajaa mipoda na miwanja jamani inaboa!
 
Back
Top Bottom