Wadada: Hizi Makeup, give us a break

Wadada: Hizi Makeup, give us a break

Huu urembo wa kulazimisha tabu sana.

Hawana hata pozi
 
kha! hata jihson mnaiandama?? ndo kapoda kangu na plistik yangu vaseline. hizo poda za kwenye vimikebe kwanza ghali halafu na joto hili basi ukichuruzika jasho uso unakuwa kama una "gully erosion".
Hahahaa siyo water erosion mkuu?
Kwani bei gani hivyo vimikebe?
Nijitolee kufadhili wadada kadhaa?
 
Udongo wa pemba siku hizi hawatafuni tuu wanajipaka pia
 
Umeongea point sana wamezd jaman yan mtu akiwa na makeup na akinawa uso unaweza kufkir watu wawil tofaut
 
Wakiwa wanajikandika make - up na kuvaa fake wigs wanadhani wanatu-impress sisi wanaume, mm kiukweli naboreka na fake wigs coz kila m2 anajua si nywele zake bora tu demu anyoe hlf achonge frem, ibra87
Mkuu mimi ndio maana nawapenda sana wasabato wale wanaonyoa nywele wanapendeza sanaaa na wanavutia kwakweli!
 
Kuna kipindi nlikuwa na date binti flan hivi maeneo ya kitaa. Kila tulipokuwa tunaagana after any meeting,ilikuwa lazima anihug. Mimi hupendelea sana kuvaa nguo nyeupe,hasa t-shirts.

Kuna siku ilikuwa nafanya usafi wa nguo zangu,nkakuta almost all of my t-shirts zina marangi rangi mekundu sehem za mabegani kuelekea mgongoni. Nikajiuliza sana,ila kwavile mizunguko yangu huwa mingi nkahisi kunasehemu niliegemea tu.

Ilinichukua muda sana kuja kutambua kuwa zile ni rangi toka kwenye uso wa yule binti kila alipokuwa akini hug.

Dada zangu,mpendeze msipendeze ilo niswala lenu binafsi, mimi naomba mjali na mavazi yetu sisi mnaotu-hug.

#Analyse.
Mkuu pole sana kwakweli dawa yao ni kuanzisha principle ya don't touch me!
 
Kawaida kupaka make up ni kielelezo cha kujikubali kwamba hujafikia Kiwango!! Unajiona mbaya kiasi makeup zina kuwa faraja yako!! Pole
 
Mkuu mimi ndio maana nawapenda sana wasabato wale wanaonyoa nywele wanapendeza sanaaa na wanavutia kwakweli!
Sio siri wale wanawake ni wazuri. Ajabu Hawa kenge wanawaona wamepitwa na wakati
 
Teh teh em ngoja niamwangalie vizuri kuku wa kukaanga

Si unawaonaga wale kuku vibanda vya chips kitaa uchwara huko walivyo wekunduu...ndio unakuta dem rangi yake sasa. Daah dem hata akikupa unyumba sidhani kama anakua mtamu ki ukweli. Hahaha daah
 
Sio siri wale wanawake ni wazuri. Ajabu Hawa kenge wanawaona wamepitwa na wakati
Mkuu ndo nchi yetu ilipofikia kizuri kinapigwa mawe na kibaya kinapewa headlines kila uchwao!
Refer kina wema sepetu and alike!
Wadada wanaojitambua wanaonekana washamba aisee inakera sana!
 
9e11e273c6d1d29ef82e08c0b115a8e0.jpg


Wakaka, give us a break
 
Back
Top Bottom