Hahahaa siyo water erosion mkuu?kha! hata jihson mnaiandama?? ndo kapoda kangu na plistik yangu vaseline. hizo poda za kwenye vimikebe kwanza ghali halafu na joto hili basi ukichuruzika jasho uso unakuwa kama una "gully erosion".
Mkuu mimi ndio maana nawapenda sana wasabato wale wanaonyoa nywele wanapendeza sanaaa na wanavutia kwakweli!Wakiwa wanajikandika make - up na kuvaa fake wigs wanadhani wanatu-impress sisi wanaume, mm kiukweli naboreka na fake wigs coz kila m2 anajua si nywele zake bora tu demu anyoe hlf achonge frem, ibra87
Mkuu pole sana kwakweli dawa yao ni kuanzisha principle ya don't touch me!Kuna kipindi nlikuwa na date binti flan hivi maeneo ya kitaa. Kila tulipokuwa tunaagana after any meeting,ilikuwa lazima anihug. Mimi hupendelea sana kuvaa nguo nyeupe,hasa t-shirts.
Kuna siku ilikuwa nafanya usafi wa nguo zangu,nkakuta almost all of my t-shirts zina marangi rangi mekundu sehem za mabegani kuelekea mgongoni. Nikajiuliza sana,ila kwavile mizunguko yangu huwa mingi nkahisi kunasehemu niliegemea tu.
Ilinichukua muda sana kuja kutambua kuwa zile ni rangi toka kwenye uso wa yule binti kila alipokuwa akini hug.
Dada zangu,mpendeze msipendeze ilo niswala lenu binafsi, mimi naomba mjali na mavazi yetu sisi mnaotu-hug.
#Analyse.
Duuh...Hivi hawa wako serious kweli...Hapa wanajiandaa kutoka out au ndo washatoka tayari?
Sio siri wale wanawake ni wazuri. Ajabu Hawa kenge wanawaona wamepitwa na wakatiMkuu mimi ndio maana nawapenda sana wasabato wale wanaonyoa nywele wanapendeza sanaaa na wanavutia kwakweli!
Teh teh em ngoja niamwangalie vizuri kuku wa kukaanga
Mkuu ndo nchi yetu ilipofikia kizuri kinapigwa mawe na kibaya kinapewa headlines kila uchwao!Sio siri wale wanawake ni wazuri. Ajabu Hawa kenge wanawaona wamepitwa na wakati
Hahahaaa!! Ole wako uniite hivyo, nitaliaaaa!ha ha ha nitaanza kulitumia hilo neno kwenu mnaojikandika marangi!
Ukipata jibu hebu nami nielekeze anakuwajeTeh teh em ngoja niamwangalie vizuri kuku wa kukaanga
Teh eti anakuwa mwekundu na ngozi inababuka kama yule kuku alokaangwaUkipata jibu hebu nami nielekeze anakuwaje
Hahahaaa!!! Sasa mama ukibabuka tena tukaja kujumlisha na yale mengine si ni majanga plus plus.Teh eti anakuwa mwekundu na ngozi inababuka kama yule kuku alokaangwa
Acha tu ndugu kibwengo, tutajuaga mbele ya safari ila make up lazima nijikandikeHahahaaa!!! Sasa mama ukibabuka tena tukaja kujumlisha na yale mengine si ni majanga plus plus.
Aaaah make up muhimu atii, mwanamke urembo so tuvumiliane tu mpaka zitakapoamua kufuata sheria.Acha tu ndugu kibwengo, tutajuaga mbele ya safari ila make up lazima nijikandike
Hilo ndo la muhimu + mafuta ya mawese woyoooo tunashainijeAaaah make up muhimu atii, mwanamke urembo so tuvumiliane tu mpaka zitakapoamua kufuata sheria.