Mdau hujui kipendacho roho hula nyama mbichi..Aisee mkuu wewe ni exceptional
Unawezaje kuzivumilia
Na zile wanja zao akikugusa shati tu kakuchafua
Halafu wana makusudi sana anaona umependeza zako mara anakudekea kakulalia kifuani shati lishajaa mipoda na miwanja jamani inaboa!
mkuu hiyo ya machoni wenyewe wanaita shedo kama sijakoseaSasa mkuu hiyo mi blue machoni tunaiitaje wanja au nini?
Dah Jamani muwe mnaelekeza wenzenu kama kuna substitute ya hicho kitu maana wanawatilia aibu wote sasaHahahaa ati unarudi geto siku imeharibiwa....
Makeup zipo unaweza apply and ukabaki na mwonekano wako wa asili and classic,nude lipstck,smoky eyes,foundation inayomatch na skintone yako etc
Na wana mishauzi kweli halafu huvaa ile midera yao wanaita kantangaze mpasuo mpaka kiunoni!
aisee mke ya celebrity naye anashindwa kumudu angalau hiyo mpauko maana hii mkolezo kwakweli haifai..!Hahahaa, wakiambiwa wanaona tunawaonea uwivu lol... sijawahi kuona mtu kajikosea hivyo usoni nikimuona nitamwambia....
Mfano mzuri mke wa fella makeup zake kama jini ila haambiwi hasikii
dah. sura utafikiri biskuti za chokreti. mdomo ndiyo chokreti.
ni mzenji yule kawaida yao hiyoHahahaa, wakiambiwa wanaona tunawaonea uwivu lol... sijawahi kuona mtu kajikosea hivyo usoni nikimuona nitamwambia....
Mfano mzuri mke wa fella makeup zake kama jini ila haambiwi hasikii
hahaaaaaaHao ni misukule?
Mbona wanaume kibao tu wanapaka poda na lipshine. .Aisee!
Ukimuona mwanaume kapaka poda nishitue mkuu maana inabidi tuanze mambo ya kifimbo cheza sasa mwanaume gani huyo labda si rizki atakua!