Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,330
- 176,111
Ngozi inatelezaaa make up lazima ifuate sheria tu.Hilo ndo la muhimu + mafuta ya mawese woyoooo tunashainije
Ngozi inatelezaaa make up lazima ifuate sheria tu.Hilo ndo la muhimu + mafuta ya mawese woyoooo tunashainije
Lazima itii sheria bila shurutiNgozi inatelezaaa make up lazima ifuate sheria tu.
Kwa muda mrefu nimekua nikiwavumilia sana na hizi poda zao, yaani unakuta mdada kapaka poda mpaka unashangaa huyu hakuwa na kioo ajione alivotoka?
Yaani hana hata urafiki na majirani angalau wangemwambia akazipunguze tu basi?Leo nimesikitika zaidi na naandika huu uzi kwa mfadhaiko sana nilipokutana na mdada kapaka poda kama Maiti!
Walahi mnaweza cheka lakini kwa poda ile jamani hapana unaweza kuota usiku hasa kama uliyekutana naye anafanana na ndugu/rafiki ambaye unamfahamu na kwa bahati mbaya akatutoka!
Sasa wadada jamani msidhani wanaume wanazipenda hizo poda na wala msidhani mnavutia sana mkipaka sana mnaongeza joto tu hapa mjini!
Kitu kingine ni hizo lipstick!Jamani give us a break tuna vitu vingi tu vya kushangaa yaani unakuta eti ndo kumechisha wigi, lipstick, wanja, kucha, hadi nyusi? Aaah jamani hampendezi kuweni tu original and simpe i swear mtapendeza sana.
Message Sent na yaweza kuwa delivered pia maana yule niliyekutana naye anaonekana mjanja tu siamini kama hayupo humu JF!
makeup za kimaskini hzo,make up za kishua mbona hata hujui kama kapaka
Mkuu huyo ww humjui bora ukubali yaishe.. huwa hashindwi kwenye majbzano yeyote.




Au wig la zambarauunakuta Rangi ya nyusi ni blue, pua njano, mavazi kijana, viatu nyekundu, kucha pink huku kichwani wigi jeusi kuna kila sababu ya madada wenyewe kwa wenyewe kufungua madarasa ya kufundishana uvaaji otherwise ipo siku watakimbiwa
Kuna kipindi nlikuwa na date binti flan hivi maeneo ya kitaa. Kila tulipokuwa tunaagana after any meeting,ilikuwa lazima anihug. Mimi hupendelea sana kuvaa nguo nyeupe,hasa t-shirts.
Kuna siku ilikuwa nafanya usafi wa nguo zangu,nkakuta almost all of my t-shirts zina marangi rangi mekundu sehem za mabegani kuelekea mgongoni. Nikajiuliza sana,ila kwavile mizunguko yangu huwa mingi nkahisi kunasehemu niliegemea tu.
Ilinichukua muda sana kuja kutambua kuwa zile ni rangi toka kwenye uso wa yule binti kila alipokuwa akini hug.
Dada zangu,mpendeze msipendeze ilo niswala lenu binafsi, mimi naomba mjali na mavazi yetu sisi mnaotu-hug.
#Analyse.