RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,734
- 129,415
ha ha ha nitaanza kulitumia hilo neno kwenu mnaojikandika marangi!Hahahaaaa! Aisee haya mambo ni kipaji, ukikurupuka ndio unaonekana kibwengo.
ha ha ha nitaanza kulitumia hilo neno kwenu mnaojikandika marangi!Hahahaaaa! Aisee haya mambo ni kipaji, ukikurupuka ndio unaonekana kibwengo.
kuna mmoja alijitutumua kunitumia picha yake ili nimuone jinsi alivyomzuri cha ajabu na kweli kama sio make up nadhani ingekuwa balaaaKiongozi, kwani yupo wa humu ambaye unafahamu anavyojiremba? Nyie watu hatari sana!!
mkuu kwani hawa waliohumu ndani na wale tunaowaona kule mtaani kunatofauti gani? Nilichozungumzia ndio ukweli kwa kuwa tunaishi nao mtaani na humu ndani piaMkuu umekutana na 98% ya wadada wa humu??!!!!!!!
kuna mmoja alijitutumua kunitumia picha yake ili nimuone jinsi alivyomzuri cha ajabu na kweli kama sio make up nadhani ingekuwa balaaa
You got issues bro!mkuu kwani hawa waliohumu ndani na wale tunaowaona kule mtaani kunatofauti gani? Nilichozungumzia ndio ukweli kwa kuwa tunaishi nao mtaani na humu ndani pia
Mkuu wengine wanaboa,usiombee mid a ya asubuhi mnakutana ktk daladala unakuta MTU kajikandika make up anakuwa kama motto Wa ngedere basis inakera basis tu.Kwa muda mrefu nimekua nikiwavumilia sana na hizi poda zao, yaani unakuta mdada kapaka poda mpaka unashangaa huyu hakuwa na kioo ajione alivotoka?
Yaani hana hata urafiki na majirani angalau wangemwambia akazipunguze tu basi?Leo nimesikitika zaidi na naandika huu uzi kwa mfadhaiko sana nilipokutana na mdada kapaka poda kama Maiti!
Walahi mnaweza cheka lakini kwa poda ile jamani hapana unaweza kuota usiku hasa kama uliyekutana naye anafanana na ndugu/rafiki ambaye unamfahamu na kwa bahati mbaya akatutoka!
Sasa wadada jamani msidhani wanaume wanazipenda hizo poda na wala msidhani mnavutia sana mkipaka sana mnaongeza joto tu hapa mjini!
Kitu kingine ni hizo lipstick!Jamani give us a break tuna vitu vingi tu vya kushangaa yaani unakuta eti ndo kumechisha wigi, lipstick, wanja, kucha, hadi nyusi? Aaah jamani hampendezi kuweni tu original and simpe i swear mtapendeza sana.
Message Sent na yaweza kuwa delivered pia maana yule niliyekutana naye anaonekana mjanja tu siamini kama hayupo humu JF!

Teh teh em ngoja niamwangalie vizuri kuku wa kukaangaSioi mwanamke design hyo. Ni aibu hata kwa wazazi. Mwingine ukimuona utasema kama kuku wa kukaanga.
Mwanamke wa kujikoboa koboa ma powder hafai kwa mtu intellectual na hadhi yake.
Hakika hujakosea, utakuta rangi zote zilizopo kwenye mtandio zimepakwa usoni.ha ha ha
unanikumbusha make up za mademu wakinzanzibar
ni noma mzee araf wenywe wanajiona wamependeza full mishauo ukiwakuta harusini
nina wasiwasi atakuwa ni mnzanzibar huyo mana ndo zao kujikoboa usoni ka VINYAGO
Wakiwa wanajikandika make - up na kuvaa fake wigs wanadhani wanatu-impress sisi wanaume, mm kiukweli naboreka na fake wigs coz kila m2 anajua si nywele zake bora tu demu anyoe hlf achonge frem, ibra87
unakuta Rangi ya nyusi ni blue, pua njano, mavazi kijana, viatu nyekundu, kucha pink huku kichwani wigi jeusi kuna kila sababu ya madada wenyewe kwa wenyewe kufungua madarasa ya kufundishana uvaaji otherwise ipo siku watakimbiwaWakiwa wanajikandika make - up na kuvaa fake wigs wanadhani wanatu-impress sisi wanaume, mm kiukweli naboreka na fake wigs coz kila m2 anajua si nywele zake bora tu demu anyoe hlf achonge frem, ibra87
Kuna watu tunazipenda hizo make up unazozichukia wewe so usitake kila mtu awe unavyotaka weweKwa muda mrefu nimekua nikiwavumilia sana na hizi poda zao, yaani unakuta mdada kapaka poda mpaka unashangaa huyu hakuwa na kioo ajione alivotoka?
Yaani hana hata urafiki na majirani angalau wangemwambia akazipunguze tu basi?Leo nimesikitika zaidi na naandika huu uzi kwa mfadhaiko sana nilipokutana na mdada kapaka poda kama Maiti!
Walahi mnaweza cheka lakini kwa poda ile jamani hapana unaweza kuota usiku hasa kama uliyekutana naye anafanana na ndugu/rafiki ambaye unamfahamu na kwa bahati mbaya akatutoka!
Sasa wadada jamani msidhani wanaume wanazipenda hizo poda na wala msidhani mnavutia sana mkipaka sana mnaongeza joto tu hapa mjini!
Kitu kingine ni hizo lipstick!Jamani give us a break tuna vitu vingi tu vya kushangaa yaani unakuta eti ndo kumechisha wigi, lipstick, wanja, kucha, hadi nyusi? Aaah jamani hampendezi kuweni tu original and simpe i swear mtapendeza sana.
Message Sent na yaweza kuwa delivered pia maana yule niliyekutana naye anaonekana mjanja tu siamini kama hayupo humu JF!
Kwa muda mrefu nimekua nikiwavumilia sana na hizi poda zao, yaani unakuta mdada kapaka poda mpaka unashangaa huyu hakuwa na kioo ajione alivotoka?
Yaani hana hata urafiki na majirani angalau wangemwambia akazipunguze tu basi?Leo nimesikitika zaidi na naandika huu uzi kwa mfadhaiko sana nilipokutana na mdada kapaka poda kama Maiti!
Walahi mnaweza cheka lakini kwa poda ile jamani hapana unaweza kuota usiku hasa kama uliyekutana naye anafanana na ndugu/rafiki ambaye unamfahamu na kwa bahati mbaya akatutoka!
Sasa wadada jamani msidhani wanaume wanazipenda hizo poda na wala msidhani mnavutia sana mkipaka sana mnaongeza joto tu hapa mjini!
Kitu kingine ni hizo lipstick!Jamani give us a break tuna vitu vingi tu vya kushangaa yaani unakuta eti ndo kumechisha wigi, lipstick, wanja, kucha, hadi nyusi? Aaah jamani hampendezi kuweni tu original and simpe i swear mtapendeza sana.
Message Sent na yaweza kuwa delivered pia maana yule niliyekutana naye anaonekana mjanja tu siamini kama hayupo humu JF!
Duh, kiongozi we hatari. Kila mtu ana uniqueness yake, as long as yupo natural hakuna tatizo kwangu.kuna mmoja alijitutumua kunitumia picha yake ili nimuone jinsi alivyomzuri cha ajabu na kweli kama sio make up nadhani ingekuwa balaaa
Aisee na zile purukushani za asubuhi kuwahi makazini wengine wana uniform sasa akikugusa tu shati tayari mara ina madoa matatu la wanja, poda na lipstik ya bluu yaani shida sana kwakweli!Mkuu wengine wanaboa,usiombee mid a ya asubuhi mnakutana ktk daladala unakuta MTU kajikandika make up anakuwa kama motto Wa ngedere basis inakera basis tu.![]()
![]()
![]()
kha! hata jihson mnaiandama?? ndo kapoda kangu na plistik yangu vaseline. hizo poda za kwenye vimikebe kwanza ghali halafu na joto hili basi ukichuruzika jasho uso unakuwa kama una "gully erosion".Aisee kumbe hzo jonson ndo zinazowaharibu