Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
kwani we umeuliza wangapi hadi sasa waliokujibu hivo
kwani we umeuliza wangapi hadi sasa waliokujibu hivo
huyu si mkazi wa tandale uzuri?
Mtalalamika sana na na bado pesa zitawatoka mpaka mshangae, mbona mnaishia kulalamika mchana na usiku lakini kuhonga hamuachi???,ww usiokuwa na hela kaaa pemben acha wenye nazo waendelee kuzitoa,.Bado wanatafiti nani mwenye pesa huko mitaani ngoja warudi utaona vumbi lake.
Mtalalamika sana na na bado pesa zitawatoka mpaka mshangae, mbona mnaishia kulalamika mchana na usiku lakini kuhonga hamuachi???,ww usiokuwa na hela kaaa pemben acha wenye nazo waendelee kuzitoa,.
Mtalalamika sana na na bado pesa zitawatoka mpaka mshangae, mbona mnaishia kulalamika mchana na usiku lakini kuhonga hamuachi???,ww usiokuwa na hela kaaa pemben acha wenye nazo waendelee kuzitoa,.
Pesa hata mie najua kuzitafuta bana khaaa!!!!!!!!
mtoto wa kike akisema " awe na bidii na mwenye kujishughulisha".......THTS MEANZ PESAA..SABABU KULITAMKA NENO LENYEWE NIKAMA LINALETA HISIATOFAUT KAMA YA DHARAU IV....ET??
Mama mbona mkali sana, au umenichunuku nini? Maana aliyetoa hoja mwingine lakini ulivyonirukia kama nisingekwepa...Mtalalamika sana na na bado pesa zitawatoka mpaka mshangae, mbona mnaishia kulalamika mchana na usiku lakini kuhonga hamuachi???,ww usiokuwa na hela kaaa pemben acha wenye nazo waendelee kuzitoa,.
Wasikuchezee kabisa dada yangu, alah!
Wanawake wa siku hizi wanaangaliapochi tu hilo la uchafu wa mavazi ni la kwake.hahao mafundi mda wote wachafu uende naye wapi