Wadada bhana!

Wadada bhana!

Pole beb na safari......nilikumiss......Valentine yenyewe ilikuwa inaboa......wala sikutoka.......umefika wapi nije kukupokea.....?
Airport nakusubiria utangulie na mabeg ya fedha nyumbani
 
Aha Aha Aha Mdada Gan Asiyependa Mwanaume Mwenye Pesa Sasa Hv Ukiwa Hauna Pesa Ujue Utakuwa Wa Mwisho Siku Zote Watakufanya Spare Tail Mamawee 2na Malizwa
 
Mimi nina vigezo vyote ulivyovitaja hapo; na sina pesa; ila mtoto wa kike kashindwa kuvumilia na kunitamkia kuwa ananipenda sana, na anashindwa kuzuia hisia zake kwangu; na mimi ninampenda, tunapendana.
 
hatuangalii pesa bwana ila awe anakipato cha kutosha kukidhi mahitaji na sio maisha ya kubaingiza, mfano me kigezo changu ilikuwa ni lazma uwe na degree japo moja na uwe na kazi haijalisha mshahara ni kiasi gani
Umeshapata wa degree?
 
hii inawahusu wale tu wanaolea vijana, vinginevyo wasichana wengi "narudia tena tafadhari" wengi hawana chaguo!
 
haa haa haa haa mie sijazaliwa dhambini bana. ni mtoto halali wa ndani ya ndoa takatifu.
Kwani kitendo si nikile kile, tofauti imeletwa na wamishionari na waraabu tu. Enzi hizo wazee wetu walikuwa wanachukuana tu kama ambavyo mdau alivyokuwa anakuita hivi punde humu.
 
Kwani kitendo si nikile kile, tofauti imeletwa na wamishionari na waraabu tu. Enzi hizo wazee wetu walikuwa wanachukuana tu kama ambavyo mdau alivyokuwa anakuita hivi punde humu.

basi sawa nimekupata
 
Hampendi kuambiwa kuhusu pesa ndio maana hua hatuliweki neno "awe na pesaa"
 
Kuna washoping...kuna wakutoka nae out kuna wa vocher... Hahaha mjini mahesabu ndio misemo yao
 
hahaahahahaha pesa hatuwezi kuiweka bayana kama kigezo
kwasababu hicho kigezo chajionyesha wazi kama unazo au lah
muonekano wako utajionyesha kama zipo au lah
Rudisha ile avatar nyuma ya hii kama itawezekana
 
hapana ama ndiyo ya mwanamke inahitaji upembuzi...

wengi huwa ni ndivyo sivyo ama sivyo ndivyo..
 
Back
Top Bottom