Wadada bhana!

Wadada bhana!

Umeona eeh... Kama pesa ya kula mboga saba ninayo, kwenda salon ninayo na mahitahi ya muhimu ninayo.... Natafuta mwanaume wa mwenye mapenzi ya kweli!!!!
Usinitanie! usiniambie hujampata mpaka sasa wakati mimi nipo hapa hapa.
 
Moderation is the best way of life.....wakiwataka wenye fedha sana wengi ni wachawi ,majambazi n.k
Wanaishia kutolewa kafara, halafu wazazi wanataarifiwa binti yenu kaanguka ghafla bafuni kafa kwa presha. Hakuna shida kuhonga madaktari
 
Ahsante mkuu ila ungeweka na picha ingependeza sana
 
Mama mbona mkali sana, au umenichunuku nini? Maana aliyetoa hoja mwingine lakini ulivyonirukia kama nisingekwepa...

Au ndiyo wewe uliyekuwa mitaani ukisaka mwenye pesa? kweli vumbi tumeliona

Very sor kama sio ww ila feelings zilinifanya niandike hivi, nawachukia sana watu wanaopenda kuwalaumu wasichana kila siku, kwanza naanza na ww, ww uliniona mtaa gan me natafuta mwenye pesa??????hiv unafikir pesa zako mm zinanisaidia nn?????tatizo lenu mna pesa za mawazo ndio maana zinawafanya mlalamike mchana na usiku.kwa sababu wenye nazo hata hawaoni shida , sasa ambao hawana ndio kucha kuwakandia wasichana.dont take girls for granted, mbona mnataka kutufanya sis hatuwez kutafuta hela ni nyie tu mnaweza???????? pia usipende kuwa negative sana kwa girls kwa kufwata mkumbo kisa huwa wanaongelewa hivo. hela yako uliyo nayo kidogo itumie kwa matumizi sahihi.
 
Very sor kama sio ww ila feelings zilinifanya niandike hivi, nawachukia sana watu wanaopenda kuwalaumu wasichana kila siku, kwanza naanza na ww, ww uliniona mtaa gan me natafuta mwenye pesa??????hiv unafikir pesa zako mm zinanisaidia nn?????tatizo lenu mna pesa za mawazo ndio maana zinawafanya mlalamike mchana na usiku.kwa sababu wenye nazo hata hawaoni shida , sasa ambao hawana ndio kucha kuwakandia wasichana.dont take girls for granted, mbona mnataka kutufanya sis hatuwez kutafuta hela ni nyie tu mnaweza???????? pia usipende kuwa negative sana kwa girls kwa kufwata mkumbo kisa huwa wanaongelewa hivo. hela yako uliyo nayo kidogo itumie kwa matumizi sahihi.
He umerudi tena... Kumbe hela zetu ni za mawazo basi ngoja na sisi tuanze kutafuta mamama yenye fedha za kumwaga tu, tuachane na watafutaji kama wewe. Hahahahaa....
 
Back
Top Bottom