Hii jamii ya kichina TZ inaongezeka sana, halafu wana umoja sana, na sasa kama wanajiamini mpaka kufanya maandamano nchini hapa kwa uhuru ukilinganisha na mTZ mwenyewe. huu ni mwanzo wa hawa jamaa kututawala siku si nyingi tusipokuwa makini.
nipeni namba ya simu ya aliyempiga roba nimpe salio la kutosha ktk akaunt yake .............i wish wangepigwa roba ka 70 ivi + wahindi 2000
mauaji hayakubaliki kwa namna yeyoteKumbuka huko China na India kuna Watanzania wengi tu, wengi wao wanapewa elimu huko.
wanaacha kuzika wanabaki kuuza sura na magari yao eti wanaandamana kuhamia eyateli ambako hamna loba za mbao wala vibaka.
Kali kuliko:
kumbe loba ikikolea ujuzi wa kung fu unapotea!! Kumbe tujifunze roba tuachane na karate zao
Leo wachina wataandamana jiji Dar es salaam wakiwa ndani ya magari yao zaidi ya 100
Police wetu kwa kuwaogopa wageni tu hawajambo,sijui ni lugha ndio inayochangia? me siwaelewi kabisa hawa police kama vipi watengewe bajeti ya kusoma english couse.
0785888543
AMINATAnipeni namba ya simu ya aliyempiga roba nimpe salio la kutosha ktk akaunt yake .............i wish wangepigwa roba ka 70 ivi + wahindi 2000
america walisema china want to re-colonies africa
nahisi ni kweli
[/QUOTE]tunasikitishwa na hali ya usalama mdogo wa raia pamoja na wageni tanzania"
...Hivi intelijensia ya afande Saidi Mwema iliona ni salama hao wachina kuandamana kwenye nchi yetu? Kweli wabongo ni bongo lala hasa....Kwa hiyo na wale watz walioko china wanaweza kupewa kibali kuandama katika nchi ya wenyewe?[/QUOTE]
Thubutu! Wataishia kuswekwa lupango na vipigo vya hali ya juu na hata kubambikiwa kesi. Wenyeji walijaribu kuiga maandamano ya nchi mbali mbali za Uarabuni katika kupinga maovu, cha moto walikiona.
huu ni unyama bora wangemkomba kila kitu lkn sio kuuwa
labda watakuwa majambazi kutoka arusha lkn wa dar wastaarabu hawauwi hovyo
na watanzania walio china ndugu zetu nao wakiuliwa tusemeje tuwapongeze wauwaji???