Hivi wewe unafikiri Serikali ya China ikisimamisha biashara na Tz japo kwa week moja uta survive?
Au wakisitisha kutoa Viza kwa watanzania unafikiri Uchumi utaenda?
Usiongee na kutota kauli zisizo na msingi, Chinese wanagombaniwa na mataifia makubwa, ni sisi Tanzania ndio tunaona hawafai.
Nenda kamuulize Obama, Cameron or Waziri mkuu wa Japan ndio watakueleza umuhimu wa Wachina.
We need to protect wageni, ili nao watuheshimu. Lakini tukiendelea na fikira zile za zamani wa huyu mweupe au mchina basi tuwadhulumu au kuwanyayasa, tutaachwa na kuendelea na porojo zetu za umasikini.
Mimi Napinga na kulaani kabisa haya yaliyotokea! Lazima tuwaheshimu na kuwashukuru wachina mana wamesaidia kuleta maisha rahisi, unafikiri bila wao leo hee watanzania wangapi wangekuwa na uwezo wa kuwa na computers, simu etc? mana bei zake zingekuwa hazishikiki...Japo tunaona quality hazifai lakini wachina wanasaidia maisha yanaendelea!