Wachawi

Wachawi

...sielewi ni kwanini?
sababu ni kwamba wao almost kila kitu wanafanya in spiritual form na kwa usiri.

Damu ya Yesu inene mema juu ya mabaya yote yanayokuzunguka na uwe Mshindi katika Yesu Kristo.
 
Ni kwanini watu wachawi huwa wanajifanya wana upendo sana? Utakuta kama ni kanisani/ Msikitini wao ndio mstari wa mbele kuhudhuria ibada zote, kutoa michango mbalimbali , kukarimu wageni hapa kwenye kukarimu wageni huwa mstari wa mbele hata kama kumeshapangwa Shekhe au Mchungaji atakula wapi utakuta yeye anasema jambo hilo niachieni mimi nitalimaliza na kweli ana maliza, kukitokea msiba huwa wanaahirisha mambo yao na kuwa karibu na mfiwa na hata kujipenyeza kwenda kuosha maiti.....yaani sielewi ni kwanini?
Mjinga ni wewe.
 
Baada ya hapo nimejalibu kuongea na uongozi wangu yaani mshangazi ambao unakujaga kila siku za jmatano.

Jibu analonipa anasema nisihame yeye haogopi uchawi acha apambane naye.

Ila kiukweli mimi naogopa bora nihame an mpaka sasa naogopa kulala maana naona yule jini sijui nani linalogusa wenzake mgongo linaweza kuja tena yaan haijalishi unalala vipi unakuta kitu kama kono sijui nn linakamata mgongo an hapo uwezi tena kujigeuza...

Uchawi upo jamni..
Kesho nina mpango nilale na mwanae huyu mkubwa nataka nimpelekee moto yaan moto haswa alafu mda moto unakolea nakua namuuliza maswali kuhusu mama yake

Full stop
Mwisho
Ukilala na binti yake ndo umeingia kingi rasmi.
 
Uchawi upo,lkn usiuogope,bali mwogope mungu na kumuamini yeye pekee. Mchawi ni sawa na mbwa mkali ukipita mbele yake kiwoga woga lazima akuvamie,lkn ukijiamini hafanyi lolote kwako.
 
sababu ni kwamba wao almost kila kitu wanafanya in spiritual form na kwa usiri.

Damu ya Yesu inene mema juu ya mabaya yote yanayokuzunguka na uwe Mshindi katika Yesu Kristo.
Kuamini kwamba wachawi na wapiga maombi wanaweza kuponyesha magonjwa yote ni ujima na hii ina-reflect the inadequacy of our (Tanzanian) education system.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom