Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Kwann usiwe unakunywa beer zako mbili unalala ..... Hali ikiendelea ongeza kiwango cha beer .....Nina hakika itapotea kabisa

Sent from my A0001 using JamiiForums mobile app
 
Kwann usiwe unakunywa beer zako mbili unalala ..... Hali ikiendelea ongeza kiwango cha beer .....Nina hakika itapotea kabisa

Sent from my A0001 using JamiiForums mobile app
Inaelekea unapenda sana masanga ee.asante kwa ushauri pia
 
Hicho chenye jicho moja kitakuwa ni kile kiumbe kilichotabiriwa na gwajima kwamba kitakuja kuleta neema kwa wana daresalama
 
kijana unaumwa muone mwanasaikolojia unatatizo kubwa la akili wahi mapema hauko sawa, si maombi wala upuuzi mwingine wowote utakusaidia , afya yako ya akili haipo sawa

Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hicho chenye jicho moja kitakuwa ni kile kiumbe kilichotabiriwa na gwajima kwamba kitakuja kuleta neema kwa wana daresalama
Hahahahahahahaha...umenichekesha sana mkuu
 
Unatakiwa kufanya maombi ya kuvunja laana za mapepo na majini usiku kabla ya kulala na ukiweza amka midnight ufanye maombi ya vita.

Uombe toba kujitakasa kabla ya maombi

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Aiseeh hongera sana mkuu.

Kumbe mchawi hapatani na maji ee..vipi kuhusu kugeuza nguo mkuu??inauhusiano gani??
Mm nilikuwa kwa mama mmoja nokamwambia usiku naona wachawi tena wanafungia mdani akanambia niwe nageuza nguo kuwa mchawi akikutaga umegeuza nguo hawezi kuingia panda mshana anajua sababu? Ila nasikia nao hugeuza vile vinguo vyao wanavyojifunga chini kabla hawajaondoka.

Mwingine anasema kuwa mchawi akitaka ndani anaacha watu wa ndani kwake wote amewafanya wasizinduke usingizini mpaka atakaporudi.sasa anasema huwa anageuza blanketi ulojifunika anapanga dawa zake kurudi anageuza tena anapanga dawa zake unarudi natoka hali ya kawaida. Hii niliona hata you tube mchawi aliokoka sawa anasimulia
 
Duhhh mkuu hio basi ni kiboko. akichanyanya na mifupa ya kitimoto plus kujipaka mafuta yake afu anakula kabisa nyama yake mbona mambo hapo yatakuwa mororo!

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Mmmhhh kumbe loh hii nimesikia Leo kitimoto alivyo tamu kumbe dawa
 
Hao wachawi wanaokusumbua aidha ni wachawi wa level ya chini sana, au hawajakuamulia tu. Vitu unavotumia kujikinga navyo sio kinga madhubuti luckyline
Nadhani zamani nilikuwa sijui kusali ila kwa sasa najishangaa iweje nimuone mtu kwa sura yake? Maombi ni zaidi ya hayo yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom