Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

You're just delusional. Na nahisi wewe ni mwanamke maana ndo wengi huwa na hizi Hali za kufikirika

Uoga wako ndo unapelekea hiyo Hali ila kiuhalisia Hakuna kitu hapo. Uchawi ni story za kusadikika tu

Tafuta mume olewa
 
Mkuu una malaria Kali nenda hospitali ukapewe ALU .



huwezi kuwa shujaa bila kuwa muhuni
 
You're just delusional. Na nahisi wewe ni mwanamke maana ndo wengi huwa na hizi Hali za kufikirika

Uoga wako ndo unapelekea hiyo Hali ila kiuhalisia Hakuna kitu hapo. Uchawi ni story za kusadikika tu

Tafuta mume olewa
Njoo unioe mkuu
 
Hahaaaa, pole sana mamaa hii post yako ndo naiona leo chunga sana wasikulishe chochote hao hata kama ni ndotoni,watakuwekea muhuri ndio wakuteke kabisa..

Hakuna mtu aliyewangiwa na wachawi kama mama kipindi bado tupo wadogo..
Njoo unioe mkuu
 
Kaa kimya bwana mdogo uchawi upo! Kama unabisha njoo kG ujionee so unasema tuu..Tulishawahi kukimbia nyumba ajili ya wachawi..
You're just delusional. Na nahisi wewe ni mwanamke maana ndo wengi huwa na hizi Hali za kufikirika

Uoga wako ndo unapelekea hiyo Hali ila kiuhalisia Hakuna kitu hapo. Uchawi ni story za kusadikika tu

Tafuta mume olewa
 
Kaa kimya bwana mdogo uchawi upo! Kama unabisha njoo kG ujionee so unasema tuu..Tulishawahi kukimbia nyumba ajili ya wachawi..
Nishafika Kigoma mara kibao wilaya zote hadi Manyovu. Sumbawanga na hata Gamboshi bila mafanikio ya kuona traces zozote za uchawi

Uchawi ni story za kusadikika zinazovuma zaidi kwenye jamii za watu wavivu wa kufikiri na wasioelimika.

Hakuna uchawi wala wachawi ila kuna wajinga.
 
Sawa baba ila bado hujakua..
Nishafika Kigoma mara kibao wilaya zote hadi Manyovu. Sumbawanga na hata Gamboshi bila mafanikio ya kuona traces zozote za uchawi

Uchawi ni story za kusadikika zinazovuma zaidi kwenye jamii za watu wavivu wa kufikiri na wasioelimika.

Hakuna uchawi wala wachawi ila kuna wajinga.
 
Hahaaaa, pole sana mamaa hii post yako ndo naiona leo chunga sana wasikulishe chochote hao hata kama ni ndotoni,watakuwekea muhuri ndio wakuteke kabisa..

Hakuna mtu aliyewangiwa na wachawi kama mama kipindi bado tupo wadogo..
Ohoooo wapi mond...nimefurahi kukuona swaiba.
Hebu fanya niipate namba kama ile ya kwangu tuongee aise
 
Kaa kimya bwana mdogo uchawi upo! Kama unabisha njoo kG ujionee so unasema tuu..Tulishawahi kukimbia nyumba ajili ya wachawi..
Mwambie huyo..sijui anafikiri kuolewa ndo suluhisho
 
Nashindwa kuelewa muumini akiona wachawi basi anatakiwa aombewe lakini mchungaji yeye pekee akiona basi huwa ni maono hahaaaahaa wakati wote ni binadamu. Imekaaje hii
Umefikiria mbali sana mkuu.
 
Wanasema mchawi mpe mwanao akulelee, sasa na wew nenda kwa huyo mchawi unayesma unamfahau mwambie kuanzia leo Mimi nataka nihamie kwako nataka kufia ndani kwako

Post sent using JamiiForums mobile app
 
You're just delusional. Na nahisi wewe ni mwanamke maana ndo wengi huwa na hizi Hali za kufikirika

Uoga wako ndo unapelekea hiyo Hali ila kiuhalisia Hakuna kitu hapo. Uchawi ni story za kusadikika tu

Tafuta mume olewa


Mkuu niligundua baadaye kuwa ni mwanamke na ambaye anakaa peke yake.Kwa hiyo ni matokeo ya uoga ndani kukaa peke yake.Akiolewa hutasikia tena akileta mambo hayo hapa.Ukimuiliza atakwambia wakati huo kwa nini "hayaoni" tena hayo "madude" atakuambia kusali kumemsaidia! Ninawaomba wanaume wenzangu (wanaume kweli) tuwasaidie hawa Dada zetu.Wanaangamizwa na wqnaume wapiga pesa.
 
Nasali inatosha zamani nilikuwa sijui kusali hata rozali sikuwa nao maji ya baraka nilikuwa sijawahi kuwaza niko poa sasa hivi

Kwa nini unasali dhidi ya mambo yasiyokuwepo? Bora ukatumia muda wako na sala kuombea marehemu walioko toharani.Bora uombee wanaosumbuka kwa kukosa ada za masomo ili wawe wavilivu ya hali ngumu wanayokuwa nayo.Waombee wagonjwa wanaoteseka kwa kukosa matibabu sababu ya umaskini wa kipato au tekinolojia stahiki ya kimatibabu.Peleka sala zako kwa mambo yanayo-exist.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom