Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Wachawi wanikosesha usingizi usiku wa leo

Kwa uelewa wako kifo ni laana,siyo? Kwa hiyo kuzaliwa ni laana? Kuota matiti ni laana? Kuota mvi ni laana? Kutoka kutembea umenyooka na kisha kutembelea mkongojo uzeeni ni laana,siyo? Mwanamke kukoma kwenda hedhi ni laana ,siyo?
Kwenye biblia imeandikwa kuwa kifo kimekuja kama mshahara wa dhambi ya uasi, hiyo ni laana.

Unayakataa maneno ya biblia?
 
Kwelii niwachawii na mchawi akitaka kukutokezea anavaa suraa ya mtu unae mjua ili kuchonganisha ilaa nimtu mwingine kabisa ambae humtegemei Kama anaweza kukufanyia kitu Kama icho. Kazana maombii kuna roho chafu za Giza zinakufuata tafuta sehemu wanapofanya maombezi yanguvu vitaisha nakama ninyumba yakupanga huwezi jua umepanga chumba kimojaa na mazombi ya mwenye hausiii

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Wachawi wapo na wanatutesa sana sisi tuliozaliwa kwenye dini.hatujui cha mganga wala nini.

Kuna sehemu niliajiliwa nilikoma nilikuwa silali nachelewa kuamka nikamuuliza jirani akanambia kama sina kinga ya mwili nitateseka. akasema huku hutoweza kuishi.

Niliteseka nikataka kuacha kazi mama alinipa moyo nisaliii yaan nikisali kama ndo nawaita kwa Kasi

Nilienda kanisani nikachukua maji ya baraka na rozali nasaliiiiii mwisho wakapungu.

Nilitoka nilipokwenda chuo sikurudi. Sasa hivi ni mkubwa najua jinsi ya kusali ahasaaa ni maneno gani ya kusali ninapoishi kwa sasa mjini kuna wachawi huwezi amini. Wasomi wake za watu wabibi, na wanaume wachache.

Sijui nini kinanitokea kwa sasa yaan nina uwezo wa kusali na kumwona mchawi tangu mnaingia ndani. Hata niende kutembea sehemu kama kuna wachawi usiku naangaika sipati usingizi na mchawi akiingia ndani lazima nimuone.

Siku moja nimelala nilimwona Ness fulani akaja kanichezea kaniniga, asubuhi nikamwambia mwenye nyumba akasema huyo nesi ni mwalim wa wachawi. Nikakumbuka nilisali kizembe usiku nilikuwa nimechoka Ikabidi niende dukani kwake kununua dawa. Nikamwambia "shingo inauma usiku kuna mama alininiga ila akirudi kwangu hatotoka atabaki ndani hadi asubuhi." Akajisemesha wewe una uwezo gani nilimwambia nasali huwezi kuingia kwangu nisikujue.alianza kuja kupitia sura za watuwengine.ila maombi ndo kila kitu

Biblia yangu inalala kwenye mto na rozali, maji ya baraka hayakosi.nalala vizuri

La kufanya sali sana kabla hujalala kama unavaaga night dress ivae kwa kuigeuza.na kama utaweza weka maji kwenye jagi yaweke nyumbani mchawi hawezi kukugusa. Hizo njia mbili kwao ni mwiko.

Akikuta umegeuza nguo atarudi. Na akikuta maji wanasema anaona kama bahali. Mchawi akiguswa maji dawa zake uisha nguvu.so hawezi kuingia ndani

Hao wachawi wanaokusumbua aidha ni wachawi wa level ya chini sana, au hawajakuamulia tu. Vitu unavotumia kujikinga navyo sio kinga madhubuti luckyline
 
Wachawi wapo na wanatutesa sana sisi tuliozaliwa kwenye dini.hatujui cha mganga wala nini.

Kuna sehemu niliajiliwa nilikoma nilikuwa silali nachelewa kuamka nikamuuliza jirani akanambia kama sina kinga ya mwili nitateseka. akasema huku hutoweza kuishi.

Niliteseka nikataka kuacha kazi mama alinipa moyo nisaliii yaan nikisali kama ndo nawaita kwa Kasi

Nilienda kanisani nikachukua maji ya baraka na rozali nasaliiiiii mwisho wakapungu.

Nilitoka nilipokwenda chuo sikurudi. Sasa hivi ni mkubwa najua jinsi ya kusali ahasaaa ni maneno gani ya kusali ninapoishi kwa sasa mjini kuna wachawi huwezi amini. Wasomi wake za watu wabibi, na wanaume wachache.

Sijui nini kinanitokea kwa sasa yaan nina uwezo wa kusali na kumwona mchawi tangu mnaingia ndani. Hata niende kutembea sehemu kama kuna wachawi usiku naangaika sipati usingizi na mchawi akiingia ndani lazima nimuone.

Siku moja nimelala nilimwona Ness fulani akaja kanichezea kaniniga, asubuhi nikamwambia mwenye nyumba akasema huyo nesi ni mwalim wa wachawi. Nikakumbuka nilisali kizembe usiku nilikuwa nimechoka Ikabidi niende dukani kwake kununua dawa. Nikamwambia "shingo inauma usiku kuna mama alininiga ila akirudi kwangu hatotoka atabaki ndani hadi asubuhi." Akajisemesha wewe una uwezo gani nilimwambia nasali huwezi kuingia kwangu nisikujue.alianza kuja kupitia sura za watuwengine.ila maombi ndo kila kitu

Biblia yangu inalala kwenye mto na rozali, maji ya baraka hayakosi.nalala vizuri

La kufanya sali sana kabla hujalala kama unavaaga night dress ivae kwa kuigeuza.na kama utaweza weka maji kwenye jagi yaweke nyumbani mchawi hawezi kukugusa. Hizo njia mbili kwao ni mwiko.

Akikuta umegeuza nguo atarudi. Na akikuta maji wanasema anaona kama bahali. Mchawi akiguswa maji dawa zake uisha nguvu.so hawezi kuingia ndani
Duhhh mkuu hio basi ni kiboko. akichanyanya na mifupa ya kitimoto plus kujipaka mafuta yake afu anakula kabisa nyama yake mbona mambo hapo yatakuwa mororo!

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Una ufahamu kiasi gani kuhusu hayo maandiko unayoyaongelea?
Aisee Sanctus, Uko vizuri mwanangu. Yoote yote yaliishia pale msalabani Bwana Yesu aliposema "yamekwisha" au "imekwisha".... Kufa/kifo (Death) is a Biological fact lakini kiimani hiyo ni hatua ya mpito ili kuingia katika mwanzo wa aina nyingine ya maisha i.e yapo maisha baada ya hapo.
 
Una ufahamu kiasi gani kuhusu hayo maandiko unayoyaongelea?

Ninapatwa na ukakasi hasa kuhusu uelewa wako katika biblia hiyo hiyo unayoisoma sasa kama si vizuri kutrace your origin Basi hata Yesu wako nina mashaka nae sababu aliyepo kwenye maandiko ukisoma Mathayo 1 yote ile ina trace origin asili ya Yesu zaidi ya vizazi vitano nyuma.......Waliona umuhimu ndiyo maana wakaliandika hilo...ukweli una shida somewhere there is missing part..
 
Isiwe uliangalia walking dead au world war Z au Van helsing kabla hujalala???
so sorry broda, get well soon.


Sent from my siemens kidole juu using JamiiForum mobile app
 
Wenzako ikifika usiku ni marufuku Kulitamka neno CHUMVI,
huwa tunaita MUNYU,
sasa wewe ita chumvi uje ulale na mazonge...( nimetoka ndani mada maramoja, ila nitarudi baadae)
Hivi kwanini usiku wanasema usiite chumvi sababu Ni nini

Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
 
Duhhh mkuu hio basi ni kiboko. akichanyanya na mifupa ya kitimoto plus kujipaka mafuta yake afu anakula kabisa nyama yake mbona mambo hapo yatakuwa mororo!

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app

Kama hiyo mifupa ya "Kitimoto" au "Kitimoto" chenyewe kinafukuza wachawi si bora awe anambeba Nguruwe mwenyewe kabisa mgongoni au kwenye gari au analala naye kitandani ili wachawi wengi zaidi na hata walio mbali kama Uganda,Kenya au Malawi wasimsogelee karibu na wala kumuwazia tu.
 
Sina uhakika sana kama wewe ni Great Thinker
Hujajibu swali. Jibu swali.

Mimi si "Great Thinker". Na wala sihitaji uniite au unione great thinker.

"Great Thinker" kwangu ni tusi la kejeli.

Aristotle alikuwa "Great Thinker". Kwa sababu hiyo, alisimamisha na kurudisha nyuma maendeleo ya sayansi kwa miaka 1600.

Sitegemei umjue Aristotle wala kisa ninachozungumzia.

Kwa sababu unaonekana kuona "Great Thinker" kuwa ni sifa nzuri.



Sent from my Kimulimuli
 
Huyo Mwakasege endeleeni tu kumsikiliza matokeo yake ndo hayo ya kutiana hofu zisizo za lazima.Anawapotosheni sana! Mara afundishe juu ya laana,mikosi mara "magundu"! Hivi Mungu wa kweli anaweza kumuumba kiumbe wake na kisha amtie mikosi na laana? Hivi makosa aliyofanya Baba,shangazi yanawezaje kuja kuwadhuru wajukuu au Vitukuu? Hebu waambieni hao wahubiri wenu uchwara watafute njia nyingine ya kuwanasa.Hii technique muda si mrefu nayo watu wataiona hainna mashiko na watawahama vile vile. Ya miujiza imekosa mashiko sasa wanabenderea hii ya uchawi,mikosi na magundu.Hivi huyo Mwakasege kasoma wapi Theology ya uhakika na katika Vyuo Vinavyotambulikana hadi umpe masikio kiasi hicho?
Haikuwa na ulazima wa wewe kumuongelea Mwakasege mkuu.wakati mwingine ni salama sana kukaa kimya na kuyaangalia maneno yako.

Kwani ungepita bila kusema chochote ungepungukiwa nini???

Kama unataka kumuongelea Mwl Christopher Mwakasege fungua uzi wako mkuu.usiniletee laana

Kama humpendi mtumishi fulani wa Mungu usimkashfu.ni vyema ukakaa kimya
 
Kwahio kina Petro Yakobo na Mtume paulo walisona wapi thiolojia???

Hata mwisho wa amri kumi neno linasema "Nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukizao nami nawarehem maelfu wanipendao na kuzishika amri zangu"

Sasa hiyo hoja yako ya kusema eti haiwezekani mtu kurithi laana na Mikosi haina mashiko...

Alafu hoja hapa cyo Mwakasege cha muhimu ni kutoa ushauri kwa mleta mada...

We badala utoe ushauri unaanza kushambulia watu....


Sent from my A706s Infinity using JamiiForums mobile app
Nashukuru kwa kunisaidia mkuu.
Sijui watu wengine wakoje jamni.kha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom