goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Dawa ya uchawi ni kupotezea lakini kwa hali ya kawaida hutaweza kwa sababu wanakuja na mbinu tofauti kijaribu kukutisha ama kukuchukua,
Fanya yafuatayo.
Ukilala omba kawaida au zaidi halafu kama yakikutokea jifanye kama hujasikia kitu. Unapotezea tu yale unayoyaona lazima ujikaze kiume kwa sababu viumbe wengine ukiwaona unaweza kupiga makelele.
Try that
Fanya yafuatayo.
Ukilala omba kawaida au zaidi halafu kama yakikutokea jifanye kama hujasikia kitu. Unapotezea tu yale unayoyaona lazima ujikaze kiume kwa sababu viumbe wengine ukiwaona unaweza kupiga makelele.
Try that