kwani hapa hakuna walokole?Nenda kwenye makanisani yanaohubiri wokovu wa kweli utapata msaada,, hapa jf sidhani,,,,
its very sad for what hapened to your new born child.... but i think you came very early to JF for this story.
Hivi kumbe haya mambo ni ya kweli?Pole sana ndugu uliyepatwa na mkasa.
kuna threas ilikua inasema asilimia 60 ya Watanzania wanaamini ushirikina. kwa kusoma comments tu naanza kuamini